Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 49,664
- 68,647
Mpaka awe na kazi etiKazi huna mwanamke utamuweza?
Mpaka awe na kazi etiKazi huna mwanamke utamuweza?
Kama ana elimu na kashindwa kupata kazi unadhani ataweza kupata mwanamke wakat hawezi kumuhudumiaMpaka awe na kazi eti
Haaaaaaahh haaaaahhh..! Hata avatar yake mwenye thread naiona.Mkuu usijali km wewe ni mweusi, mi ni Albino so tunaweza tukatengeneza ZEBRA CROSSING (black & white) wanafunzi wakawa wanavuka barabara vyema....Tuyajenge Tafadhali... Zebra crossing kwa uvukaji salama wa barabara
Izo sifa zako zantishaaaa... Mfup kupitiliza kuna uwezekano wewe ni andunje... Mweusi mkaa unasubir... Kazi huna mmhhhhsasa hela si tutatafuta... kwan ntakaa ntakuacha ulale njaa...!
Hahahahaha haya usimkatishe tamaaKama ana elimu na kashindwa kupata kazi unadhani ataweza kupata mwanamke wakat hawezi kumuhudumia
Kuna sehem nmekulipuaHahahahaha haya usimkatishe tamaa
Wapi hukoKuna sehem nmekulipua
Sasa hivi kila mwanaume suruali atajifanya mwalimu wa arts