Atakayeleta dharau mshughulikie kimilaNatafuta rafiki wa kike, kabila yoyote, kuanzia miaka 40-50. Dini yoyote, mfanyabiashara au mwajiriwa. Naishi Dar.
Nina miaka 50, mwanaume, urefu wa kati, maji ya kunde. Msukuma na Mjita. Mzaliwa wa Dar.
Mfanyabiashara.
Karibu atakayependezewa.
Tafadhali naomba dharau, dhihaka na utani vikae pembeni.
Niko serious.
Asanteni
Tunamshauri Tu wahanga wenzakeWatu hatuwezi kufanana kimaumbile kimitizamo, na hata kiutashi......
Mtu kajipima kaona anahitaji mwenza wewe nani mpaka umuone hafai kuyafanya hayo......??
Mimi naamini huyo ni mtu mzima na anajua anachokifanya
Ni wewe nini .??Yeye haja post kuomba ushauri wala maelekezo yeye kapost kutafuta....na amepost sehemu husika......
Ushauri mbaya huu 🤭Miaka 50 Bado unadindisha PIGA nyeti miaka imesonga
Ndio ni mimi.... insha'Allah nitapataNi wewe nini .??
Kila la kheri utapata
Pole sanaTunamshauri Tu wahanga wenzake
Kama ni wewe basi nakujaNdio ni mimi.... insha'Allah nitapata
Karibu sana.....kipepeo cha moyo wangu.....Kama ni wewe basi nakuja
Ungesema Tu mapema.kosa Sana kuja na id mpya