Natafuta mpenzi jinsia ya KIKE

Natafuta mpenzi jinsia ya KIKE

Pascal K

Member
Joined
Aug 6, 2025
Posts
14
Reaction score
23
Natafuta rafiki wa kike, kabila yoyote, kuanzia miaka 40-50. Dini yoyote, mfanyabiashara au mwajiriwa. Naishi Dar.
Nina miaka 50, mwanaume, urefu wa kati, maji ya kunde. Msukuma na Mjita. Mzaliwa wa Dar.
Mfanyabiashara.
Karibu atakayependezewa.
Tafadhali naomba dharau, dhihaka na utani vikae pembeni.
Niko serious.
Asanteni
 
Mkuu Bora ustaafu kama Mimi
Just imagine unapata heartbreak at 50.si unapata ugonjwa bure
Kuna umri ukifika Fanya mambo mengine
 
Inawezekana.. Maana hata mwenye miaka 35 anaweza kuwa na wajukuu.

Ila kama una 50+ na bado unaendekeza hayo mambo lazima kutakuwa na shida sehemu.
Matamanio hayana ukomo na msiwafunge watu kwenye magereza ya fikra ZENU.....

Kwanini mnawafanya watu wazima waonekane kama mapambo ya makumbusho!!

Yaani mtu akifika miaka fulani basi akae tu kwenye Kochi akisubiria kifo kana kwamba amehukumiwa kifo!!

Mbona mtu wa miaka 50 bado angali ana nguvu zake nyingi Tu!!
 
Matamanio hayana ukomo na msiwafunge watu kwenye magereza ya fikra ZENU.....

Kwanini mnawafanya watu wazima waonekane kama mapambo ya makumbusho!!

Yaani mtu akifika miaka fulani basi akae tu kwenye Kochi akisubiria kifo kana kwamba amehukumiwa kifo!!

Mbona mtu wa miaka 50 bado angali ana nguvu zake nyingi Tu!!
Ana haki ya kupenda na kupendwq
 
Mkuu Bora ustaafu kama Mimi
Just imagine unapata heartbreak at 50.si unapata ugonjwa bure
Kuna umri ukifika Fanya mambo mengine
Watu hatuwezi kufanana kimaumbile kimitizamo, na hata kiutashi......

Mtu kajipima kaona anahitaji mwenza wewe nani mpaka umuone hafai kuyafanya hayo......??

Mimi naamini huyo ni mtu mzima na anajua anachokifanya
 
Matamanio hayana ukomo na msiwafunge watu kwenye magereza ya fikra ZENU.....

Kwanini mnawafanya watu wazima waonekane kama mapambo ya makumbusho!!

Yaani mtu akifika miaka fulani basi akae tu kwenye Kochi akisubiria kifo kana kwamba amehukumiwa kifo!!

Mbona mtu wa miaka 50 bado angali ana nguvu zake nyingi Tu!!

Mungu alikuwa na maana yake alipowafanya wanawake wawe na Menopause wakifikia miaka 45+, na wanaume kuanza kulegea misuli umri ukienda sana..

Sex inatumia energy kwa kiwango kikubwa sana..
Na unapofikia utu uzima kiwango cha kuzalisha energy kinapungua..

Tunza energy yako uweze hata kupandia ngazi ya kwenda ndani kwako.
 
Watu hatuwezi kufanana kimaumbile kimitizamo, na hata kiutashi......

Mtu kajipima kaona anahitaji mwenza wewe nani mpaka umuone hafai kuyafanya hayo......??

Mimi naamini huyo ni mtu mzima na anajua anachokifanya
Ieleweke hakuna aliyempangia cha kufanya ila watu tumetoa mawazo yetu, na mawazo sio sheria.

Asingetaka kuambiwa lolote asingetupostia humu, angetafuta kimyakimya mtaani kwake.

Acha makasiriko Mkuu.
 
Hongera jamaa umekuwa kataa ndoa kwa nusu century 😄

sasa hapo unatafuta business partner au?
 
Ieleweke hakuna aliyempangia cha kufanya ila watu tumetoa mawazo yetu, na mawazo sio sheria.

Asingetaka kuambiwa lolote asingetupostia humu, angetafuta kimyakimya mtaani kwake.

Acha makasiriko Mkuu.


Yeye haja post kuomba ushauri wala maelekezo yeye kapost kutafuta....na amepost sehemu husika......
 
Mungu alikuwa na maana yake alipowafanya wanawake wawe na Menopause wakifikia miaka 45+, na wanaume kuanza kulegea misuli umri ukienda sana..

Sex inatumia energy kwa kiwango kikubwa sana..
Na unapofikia utu uzima kiwango cha kuzalisha energy kinapungua..

Tunza energy yako uweze hata kupandia ngazi ya kwenda ndani kwako.
Vijana ndio mmeweka sex kama kipaumbele kutokana na kusukumwa na mihemko badala ya akili.....

Kadri umri unavyokwenda muunganiko wa mwanaume na mwanamke unageuka kuwa kampani zaidi kuliko sex!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom