Natafuta mchumba atakaye kuwa mke wangu.
1. Awe ana hofu ya Mungu.
2. Elimu atleast form 6 (hata ukiwa na PhD).
3. Awe na akili za maisha na shughuli ya kumuingizia kipato.
4. Awe na shape/figure.
5. Asiwe na mtoto.
Age (25-32)
Mimi nina miaka 33, nina kazi yangu nzuri tu ya kukutimizia mahitaji yako ya MSINGI kama mwanamke.
NB: Ukijua unatabia za slay queens kaa pembeni.
1. Awe ana hofu ya Mungu.
2. Elimu atleast form 6 (hata ukiwa na PhD).
3. Awe na akili za maisha na shughuli ya kumuingizia kipato.
4. Awe na shape/figure.
5. Asiwe na mtoto.
Age (25-32)
Mimi nina miaka 33, nina kazi yangu nzuri tu ya kukutimizia mahitaji yako ya MSINGI kama mwanamke.
NB: Ukijua unatabia za slay queens kaa pembeni.