Ubaguzi huo! Kwani mwenye elimu zaidi ana tatizo mkuu?1. AWE NI MWALIMU WA SHULE ZA MSINGI (GRADE A)
Hapo sitii neno!2. AWE NI MUISLAM
Pia hapa sitii neno.3. UMRI KUNZIA MIAKA 18 HADI 25
Akizidi kidogo ajihesabu kakukosa?4. UREFU KUANZIA FUTI NNE HADI FUTI TANO
Mh, hapa nako nakosa la kusema.5. AWE NA UMBO LA WASTANI (SI MNENE SAAANA )
Wengi mnapenda ngozi ya rangi hiyo eh? Basi mambo ya rangi hayakuwa na umuhimu kabisa, ningepata cheusi poa tu, hata mzungu shwari pia mradi awe amewahi kuishi Tanzania.6. AWE NA NGOZI MAJI YA KUNDE,NYEUPE. SI NYEUSI TIII
Wa Morogoro ndio hivyo wajihesabu wamekosa? Na aliyekuwa anaishi Dar na sasa anasomea huo ualimu Uingereza vipi akirudi?7. AWE ANAISHI DAR AU KAMA BADO YUPO CHUONI HAINA TABU
Sasa mkuu ungewapa kina dada wasifu wako kidogo ili applications ziongezeke zaidi. Hii inakuwa imekaa kimtegomtego. Maswali niliyokuuliza hapo juu yana umuhimu wake kwa wao kuchukua maamuzi sahihi pia.MSICHANA MWENYE SIFA HIZO KAMA WEWE NAOMBA TUWASILIANE HARAKA, KWA KUANZIA KUPITIA EMAIL: nyaunyau2005@yahoo.com
Pole unayetafuta mke ndani ya mtandao. Wewe u nani!??? Weka wasifu wako hapa. Picha nisingeshauri kwa sababu ya usalama pia. Hapa jamvini tupo members wa aina zote!!!!!
Lakini je, umeshamwomba Mungu akupe mke???? Imeandikwa 'Mke mwema hutoka kwa Mungu, bali mali na utajiri mtu hupewa na babaye'.
HABARI ZENU, MIMI NIPO SERIOUS NATAFUTA MCHUMBA MWENYE SIFA ZIFUATAZO :-
1. AWE NI MWALIMU WA SHULE ZA MSINGI (GRADE A)
2. AWE NI MUISLAM
3. UMRI KUNZIA MIAKA 18 HADI 25
4. UREFU KUANZIA FUTI NNE HADI FUTI TANO
5. AWE NA UMBO LA WASTANI (SI MNENE SAAANA )
6. AWE NA NGOZI MAJI YA KUNDE,NYEUPE. SI NYEUSI TIII
7. AWE ANAISHI DAR AU KAMA BADO YUPO CHUONI HAINA TABU
MSICHANA MWENYE SIFA HIZO KAMA WEWE NAOMBA TUWASILIANE HARAKA, KWA KUANZIA KUPITIA EMAIL: nyaunyau2005@yahoo.com
HABARI ZENU, MIMI NIPO SERIOUS NATAFUTA MCHUMBA MWENYE SIFA ZIFUATAZO :-
nyaunyau2005@yahoo.com
Pole kaka, naona wewe hutafuti mke, unatafuta kinyago kilichochongwa kwa umbo unalotaka wewe! Mke si umbo, mke si rangi kaka.
Thread ya why women are so complicated uliyoianzisha nilidhani unapitia mapito tu yaani kumbe umeamuz kumuacha aliykufanya uanzishe hiyo thread?
Sister mmoja alitafutiwa mme na Padre mmoja,,,, ambaye ni ndugu na huyo Padre,,,, dada akaona Padre ana busara hivi! Huyu mume ni lazima atakuwa na busara kama ndugu yake. Kwa utaalamu wa hali ya juu wa huyu Padre hawa wachumba hawakuonana mpaka karibu kabisa na siku ya harusi,,,, du Mama kijasho kilimtoka,,,, Jamaa kapinda ile mbaya,,, bila ubishi alielewa kuwa sura hii ni ya GONGO MTU. KAKANANII toa wasifu wako kuwaondolea shak hawa dada zetu,,, ikiwezekana na picha pia.[/Q
WALE WALIO INTERESTED NA WANA SIFA HIZO NINAZO ZITAKA BASI TUWASILIANE KUPITIA E-MAIL : nyaunyau2005@yahoo.com
Pole kaka, naona wewe hutafuti mke, unatafuta kinyago kilichochongwa kwa umbo unalotaka wewe! Mke si umbo, mke si rangi kaka.
Thread ya why women are so complicated uliyoianzisha nilidhani unapitia mapito tu yaani kumbe umeamuz kumuacha aliykufanya uanzishe hiyo thread?
Una maana sanamu ya Michellene!!
What is wrong with we human beings?
Jamaa kaandika anatafuta mke. Period. Kasema mwenye vigezo amuandikie, katoa na anuani ya pepe. Sasa watu hapa mnakuja na issue zenu mnaanza kumponda mshkaji. Jamani hii ni halali kweli? Wewe kama unafaa..test the ground by writing him! Au kama vipi na wewe uweke vigezo vyako vya unayemtaka hapa!
Eti mke mtu anapewa na Mungu. Maybe Yes, maybe not. Kwanini unataka kila mtu aamini unavyoamini wewe? kama wewe ni mkristo..well and good, ila siyo kutaka ku-impose imani yako juu ya wengine.
Ohh sijui jamaa ni mbaguzi...kwa kuweka vigezo..ohh ni mdini..nk..jamani wats wrong? si kila mtu ana haki ya kuchagua anachoona kinamfaa? Mimi ni msukuma..does it mean nikitaka mke msukuma ni ubaguzi kwa vile sikuoa mchagga au mmakonde? I have a right to say I want a white, black, short, tall, etc..woman! Si ndo maana ya uhuru wa kujiamlia mambo binafsi? au?
Mnataka kuniambia kwamba kwa waliooa mlioa tuu ilmradi bila kuwa na vigezo? jamani tuheshimu haki za watu kujichagulia wanalolitaka. Naamini huyu jamaa hapa hajafunja sheria yoyote. Ni vyema tukachangia constructively..tusiwe na prejudices na stereotypes...Eti mtu hupata mke mbinguni? Thats religous part of the bargain which is not necessarily true to others.
Kama wewe unaona jamaa amekosea. Na wewe weka vigezo vyako vya mwanamke/mwanaume unayemtaka! Period.
Stereotype ni mbaya sana...
Bro Masanja mbona umewaka hivyo ndugu yangu? Members wanampa changamoto bwana Kinyaunyau ndugu yangu, kwani ni mbaya hiyo ati?