Natafuta mke wa kweli

Natafuta mke wa kweli

Trouserman

Member
Joined
Jun 3, 2022
Posts
47
Reaction score
49
➡ Jina: *
➡ Umri: Miaka 29
➡ Mahali: Tabora
➡ Hali ya maisha: Uchumi wa kawaida, maisha ya utulivu
➡ Muonekano: Mweupe kiasi, mfupi wa saizi, mwembamba
➡ Mawasiliano: lubeadamas@gmail.com

Ninachotafuta

Siko hapa kutafuta urafiki wa mazoea au burudani za kimtandao. Niko hapa kwa nia moja: kutafuta mke wa kweli – ambaye hatakuwa tu mke, bali pia mwenza wa huduma.

Sifa ninazotamani kwa mwanamke:

Umri 19_31

Mwenye hofu ya Mungu

Mwenye unyenyekevu wa moyo

Mwenye kufundishika

Mwili wa wastani – asiwe mnene sana wala mwembamba sana, lakini anipendeze machoni

Elimu si kigezo – moyo wenye maadili ni bora kuliko cheti

Aliye tayari kuwa mke wa mchungaji, sio kwa jina tu bali kwa maisha ya wito.

Kwa Nini Hapa?

Mimi naamini Mungu kunipa mke wangu, ila sinauhakika nitakutananaye wapi – labda ni hapa.
Naamini ukija tu, nitajua kama ni wewe au siyo.

📩 Karibu tuwasiliane kwa heshima.
Lubeadamas@gmail.com
 
Huku Kuna

  • Ma gube gube.
  • Chronical single Mothers.
  • Women with multiple partners
  • Wezi
  • Wanyang'anyi
  • Matapeli wa mapenzi
  • Walokole feki
  • Wachawi.
  • Washirikina
  • Majini yenye miili ya watu
  • Frustrated Women
  • Wamama wazuri wenye ndoa

Hemu angalia kwingine Bro, this is a camp of useless broken people! Kama umekosa kabisa Bora ukahasiwe kuliko tafuta mke huku
 
Pastor,mbona huko Tabora kuna mabibie wema na wazuri?Au unapendelea wenye, angalau,uzoefu wa kuperuzi JF?Nenda Ndewelwa,Kipalapala,Inyonga,Nyambele,Usoke,Magili,Nyahua,Mabama,Intonjanda,Kwihala,Chabutwa,Igombe,Nkiniziwa,Ndala hadi Bukene utampata liwazo lako tu.
 
Wachungaji wenzako huwa wanaoa humohumo kanisani miongoni mwa washirika. Ina maana unaanza kazi na huna washirika? Piga injili upate washirika, mke utampata humohumo, kwa hapa utaishia kuzodolewa mtumishi
 
Huku Kuna

  • Ma gube gube.
  • Chronical single Mothers.
  • Women with multiple partners
  • Wezi
  • Wanyang'anyi
  • Matapeli wa mapenzi
  • Walokole feki
  • Wachawi.
  • Washirikina
  • Majini yenye miwili ya watu
  • Frustrated Women
Hemu angalia kwingine Bro, this is a camp of useless broken people! Kama umekosa kabisa Bora ukahasiwe kuliko tafuta mke huku
Tumekukosea nini 😒
 
Utapata, nenda leo maandamano ya ekaristi(sherehe ya mwili na damu ya KRISTU )unaeza pata binti hata njiani wakati wa kuandamana (hii ni kwa wakatoliki)
 
➡ Jina: *
➡ Umri: Miaka 29
➡ Mahali: Tabora
➡ Hali ya maisha: Uchumi wa kawaida, maisha ya utulivu
➡ Muonekano: Mweupe kiasi, mfupi wa saizi, mwembamba
➡ Mawasiliano: lubeadamas@gmail.com

Ninachotafuta

Siko hapa kutafuta urafiki wa mazoea au burudani za kimtandao. Niko hapa kwa nia moja: kutafuta mke wa kweli – ambaye hatakuwa tu mke, bali pia mwenza wa huduma.

Sifa ninazotamani kwa mwanamke:

Umri 19_31

Mwenye hofu ya Mungu

Mwenye unyenyekevu wa moyo

Mwenye kufundishika

Mwili wa wastani – asiwe mnene sana wala mwembamba sana, lakini anipendeze machoni

Elimu si kigezo – moyo wenye maadili ni bora kuliko cheti

Aliye tayari kuwa mke wa mchungaji, sio kwa jina tu bali kwa maisha ya wito.

Kwa Nini Hapa?

Mimi naamini Mungu kunipa mke wangu, ila sinauhakika nitakutananaye wapi – labda ni hapa.
Naamini ukija tu, nitajua kama ni wewe au siyo.

📩 Karibu tuwasiliane kwa heshima.
Lubeadamas@gmail.com
Nikupe huyu pichani ndugu mchungaji
 

Attachments

  • Screenshot_20250622-080814.jpg
    Screenshot_20250622-080814.jpg
    439.9 KB · Views: 11

Similar Discussions

Back
Top Bottom