Natafuta mke wa kweli

Natafuta mke wa kweli

Mwamba tukikaa na wewe vizuri utatupa semina au kilichokukuta ni SIRI YAKO?

Kwa yaliyonikuta, nipo tayari kabisa Kwa gharama zangu kukaa chini na kuwaelezea kwamba Mwanamke, hapana, Bila Mungu na ukamilifu, hafai!
 
Anatakiwa kujua mtandao ni jumuia siyo sawa kuikosea jumuia kwa makosa ya watu wachachee ,,jamii forum kuna maaskofu kuna usalama,jeshi la taifa,viongozi wa chama wachungaji kuna mashekhe ,kuna maustaz ,maustazati, mamufti na kuna wasioamini Mungu, ndiyo maana kuna majukwaa tofautitofauti,,kusema hivyo nikukosea raia ,,na hayo ndiyo matumiz mabaya ya mtandao
Mchungaji na nusu wewe ..
Maana hata huko wanakosema wapo wazuri ..wanasahau kwamba na waNa Jf ..wanatoka na wanaishi huko! .. .. hao hao waliopo huko ndio hawa hawa waliomo humu!
Au kuna mtaa au mji unaitwa Jf?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom