Trouserman
Member
- Jun 3, 2022
- 47
- 49
- Thread starter
- #41
Mchungaji angalia angalia kwenye kondoo unaowachunga ila sio huku mtumishi
Asantee wewe siyo kama yule ponjoro Kariakoo
Mchungaji angalia angalia kwenye kondoo unaowachunga ila sio huku mtumishi
Wewe mwisho umesahau mashetani ni kweli ila kuna wengine niwazuriHuku Kuna
- Ma gube gube.
- Chronical single Mothers.
- Women with multiple partners
- Wezi
- Wanyang'anyi
- Matapeli wa mapenzi
- Walokole feki
- Wachawi.
- Washirikina
- Majini yenye miili ya watu
- Frustrated Women
- Wamama wazuri wenye ndoa
Hemu angalia kwingine Bro, this is a camp of useless broken people! Kama umekosa kabisa Bora ukahasiwe kuliko tafuta mke huku
Wewe mwisho umesahau mashetani ni kweli ila kuna wengine niwazuri
Anatakiwa kujua mtandao ni jumuia siyo sawa kuikosea jumuia kwa makosa ya watu wachachee ,,jamii forum kuna maaskofu kuna usalama,jeshi la taifa,viongozi wa chama wachungaji kuna mashekhe ,kuna maustaz ,maustazati, mamufti na kuna wasioamini Mungu, ndiyo maana kuna majukwaa tofautitofauti,,kusema hivyo nikukosea raia ,,na hayo ndiyo matumiz mabaya ya mtandaoWewe mwisho umesahau mashetani ni kweli ila kuna wengine niwazuri
Umechangia vizuri hakika una akili timamu barikiwaKila lakheri Mtumishi
Ila kwenye kila uchafu lazima utapata cha afadhaliNdo wamama wazuri wenye ndoa, kama Hana ndoa hafai
asante mtumishiAsantee wewe siyo kama yule ponjoro Kariakoo
Ila kwenye kila uchafu lazima utapata cha afadhali
We uttoh2002 wasichana na wanawake tuliomo humu JF tumekukosea nini???🤔🤔🤔Huku Kuna
- Ma gube gube.
- Chronical single Mothers.
- Women with multiple partners
- Wezi
- Wanyang'anyi
- Matapeli wa mapenzi
- Walokole feki
- Wachawi.
- Washirikina
- Majini yenye miili ya watu
- Frustrated Women
- Wamama wazuri wenye ndoa
Hemu angalia kwingine Bro, this is a camp of useless broken people! Kama umekosa kabisa Bora ukahasiwe kuliko tafuta mke huku
Hiyo comment yako!!!Kwani Kuna Nini Dada?
Hiyo comment yako!!!
Zingatia awe bikra utanishukuru➡ Jina: *
➡ Umri: Miaka 29
➡ Mahali: Tabora
➡ Hali ya maisha: Uchumi wa kawaida, maisha ya utulivu
➡ Muonekano: Mweupe kiasi, mfupi wa saizi, mwembamba
➡ Mawasiliano: lubeadamas@gmail.com
Ninachotafuta
Siko hapa kutafuta urafiki wa mazoea au burudani za kimtandao. Niko hapa kwa nia moja: kutafuta mke wa kweli – ambaye hatakuwa tu mke, bali pia mwenza wa huduma.
Sifa ninazotamani kwa mwanamke:
Umri 19_31
Mwenye hofu ya Mungu
Mwenye unyenyekevu wa moyo
Mwenye kufundishika
Mwili wa wastani – asiwe mnene sana wala mwembamba sana, lakini anipendeze machoni
Elimu si kigezo – moyo wenye maadili ni bora kuliko cheti
Aliye tayari kuwa mke wa mchungaji, sio kwa jina tu bali kwa maisha ya wito.
Kwa Nini Hapa?
Mimi naamini Mungu kunipa mke wangu, ila sinauhakika nitakutananaye wapi – labda ni hapa.
Naamini ukija tu, nitajua kama ni wewe au siyo.
📩 Karibu tuwasiliane kwa heshima.
Lubeadamas@gmail.com
Je wewe ni mme wa kweli?, Usije ukawa mme wa kweli kwa miaka 2 ama mwaka mmoja halafu manyoya, (pruuu)➡ Jina: *
➡ Umri: Miaka 29
➡ Mahali: Tabora
➡ Hali ya maisha: Uchumi wa kawaida, maisha ya utulivu
➡ Muonekano: Mweupe kiasi, mfupi wa saizi, mwembamba
➡ Mawasiliano: lubeadamas@gmail.com
Ninachotafuta
Siko hapa kutafuta urafiki wa mazoea au burudani za kimtandao. Niko hapa kwa nia moja: kutafuta mke wa kweli – ambaye hatakuwa tu mke, bali pia mwenza wa huduma.
Sifa ninazotamani kwa mwanamke:
Umri 19_31
Mwenye hofu ya Mungu
Mwenye unyenyekevu wa moyo
Mwenye kufundishika
Mwili wa wastani – asiwe mnene sana wala mwembamba sana, lakini anipendeze machoni
Elimu si kigezo – moyo wenye maadili ni bora kuliko cheti
Aliye tayari kuwa mke wa mchungaji, sio kwa jina tu bali kwa maisha ya wito.
Kwa Nini Hapa?
Mimi naamini Mungu kunipa mke wangu, ila sinauhakika nitakutananaye wapi – labda ni hapa.
Naamini ukija tu, nitajua kama ni wewe au siyo.
📩 Karibu tuwasiliane kwa heshima.
Lubeadamas@gmail.com
🤣🤣 mimi ni anduHakuna mfupi wa size si useme wewe ni andu