Natafuta mke wa kweli

Natafuta mke wa kweli

Huku Kuna

  • Ma gube gube.
  • Chronical single Mothers.
  • Women with multiple partners
  • Wezi
  • Wanyang'anyi
  • Matapeli wa mapenzi
  • Walokole feki
  • Wachawi.
  • Washirikina
  • Majini yenye miili ya watu
  • Frustrated Women
  • Wamama wazuri wenye ndoa

Hemu angalia kwingine Bro, this is a camp of useless broken people! Kama umekosa kabisa Bora ukahasiwe kuliko tafuta mke huku
Wewe mwisho umesahau mashetani ni kweli ila kuna wengine niwazuri
 
Wewe mwisho umesahau mashetani ni kweli ila kuna wengine niwazuri
Anatakiwa kujua mtandao ni jumuia siyo sawa kuikosea jumuia kwa makosa ya watu wachachee ,,jamii forum kuna maaskofu kuna usalama,jeshi la taifa,viongozi wa chama wachungaji kuna mashekhe ,kuna maustaz ,maustazati, mamufti na kuna wasioamini Mungu, ndiyo maana kuna majukwaa tofautitofauti,,kusema hivyo nikukosea raia ,,na hayo ndiyo matumiz mabaya ya mtandao
 
Huku Kuna

  • Ma gube gube.
  • Chronical single Mothers.
  • Women with multiple partners
  • Wezi
  • Wanyang'anyi
  • Matapeli wa mapenzi
  • Walokole feki
  • Wachawi.
  • Washirikina
  • Majini yenye miili ya watu
  • Frustrated Women
  • Wamama wazuri wenye ndoa

Hemu angalia kwingine Bro, this is a camp of useless broken people! Kama umekosa kabisa Bora ukahasiwe kuliko tafuta mke huku
We uttoh2002 wasichana na wanawake tuliomo humu JF tumekukosea nini???🤔🤔🤔
 
Hakuna mfupi wa size si useme wewe ni andu
 
➡ Jina: *
➡ Umri: Miaka 29
➡ Mahali: Tabora
➡ Hali ya maisha: Uchumi wa kawaida, maisha ya utulivu
➡ Muonekano: Mweupe kiasi, mfupi wa saizi, mwembamba
➡ Mawasiliano: lubeadamas@gmail.com

Ninachotafuta

Siko hapa kutafuta urafiki wa mazoea au burudani za kimtandao. Niko hapa kwa nia moja: kutafuta mke wa kweli – ambaye hatakuwa tu mke, bali pia mwenza wa huduma.

Sifa ninazotamani kwa mwanamke:

Umri 19_31

Mwenye hofu ya Mungu

Mwenye unyenyekevu wa moyo

Mwenye kufundishika

Mwili wa wastani – asiwe mnene sana wala mwembamba sana, lakini anipendeze machoni

Elimu si kigezo – moyo wenye maadili ni bora kuliko cheti

Aliye tayari kuwa mke wa mchungaji, sio kwa jina tu bali kwa maisha ya wito.

Kwa Nini Hapa?

Mimi naamini Mungu kunipa mke wangu, ila sinauhakika nitakutananaye wapi – labda ni hapa.
Naamini ukija tu, nitajua kama ni wewe au siyo.

📩 Karibu tuwasiliane kwa heshima.
Lubeadamas@gmail.com
Zingatia awe bikra utanishukuru
 
➡ Jina: *
➡ Umri: Miaka 29
➡ Mahali: Tabora
➡ Hali ya maisha: Uchumi wa kawaida, maisha ya utulivu
➡ Muonekano: Mweupe kiasi, mfupi wa saizi, mwembamba
➡ Mawasiliano: lubeadamas@gmail.com

Ninachotafuta

Siko hapa kutafuta urafiki wa mazoea au burudani za kimtandao. Niko hapa kwa nia moja: kutafuta mke wa kweli – ambaye hatakuwa tu mke, bali pia mwenza wa huduma.

Sifa ninazotamani kwa mwanamke:

Umri 19_31

Mwenye hofu ya Mungu

Mwenye unyenyekevu wa moyo

Mwenye kufundishika

Mwili wa wastani – asiwe mnene sana wala mwembamba sana, lakini anipendeze machoni

Elimu si kigezo – moyo wenye maadili ni bora kuliko cheti

Aliye tayari kuwa mke wa mchungaji, sio kwa jina tu bali kwa maisha ya wito.

Kwa Nini Hapa?

Mimi naamini Mungu kunipa mke wangu, ila sinauhakika nitakutananaye wapi – labda ni hapa.
Naamini ukija tu, nitajua kama ni wewe au siyo.

📩 Karibu tuwasiliane kwa heshima.
Lubeadamas@gmail.com
Je wewe ni mme wa kweli?, Usije ukawa mme wa kweli kwa miaka 2 ama mwaka mmoja halafu manyoya, (pruuu)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom