mkulimamwema
Senior Member
- Apr 14, 2011
- 153
- 18
Walimwengu mimi ni mwanaume mwenye miaka 26 na tangu kubalehe sijafanya mapenzi nipo chuo kikuu,niliwahi kupenda wasichana wawili wote waliniumiza(sikufanya ngono nao kwani nilimwahidi MUNGU mpaka nioe) sasa umefikia wakati siwezi kuvumilia tena na ningekuwa safi kiuchumi ningeoa mwaka huu,na kuvunja ahadi niliyomwahidi muumba nafsi inaniuma zaidi mchumba niliyenaye anataka nifanye naye mapenzi,yeye bado miaka 4 amalize chuo au nitafute mwingine maana naona ananichelewesha