Natafuta mke wa kuoa seriously 20-25

Natafuta mke wa kuoa seriously 20-25

Atwoki

JF-Expert Member
Joined
Aug 22, 2015
Posts
739
Reaction score
426
Habar ndugu zangu mimi n kijana mwenye umr wa miaka 29 , mrefu cm 179 mweusi kidogo ni mtumishi wa umma nahtji msichana mkristo, awe na umr kuanzia 20-25, nichek pm
 
Habar ndugu zangu mimi n kijana mwenye umr wa miaka 29 , mrefu cm 179 mweusi kidogo ni mtumishi wa umma nahtji msichana mkristo, awe na umr kuanzia 20-25, nichek pm
Yaani mtumishi wa umma huko mtaani kwenu hujaona mwanamke wa kuoa uje umtafute JF? Hapa hakuna kama wewe ni domo zege shauri yako! Hapa utakutana na ma Miss Natafuta ndiyo utajuta!
 
Yaani mtumishi wa umma huko mtaani kwenu hujaona mwanamke wa kuoa uje umtafute JF? Hapa hakuna kama wewe ni domo zege shauri yako! Hapa utakutana na ma Miss Natafuta ndiyo utajuta!
Naona jopo la mabraza limekaa kikao cha dharura kumshauri dogo na kumpa za uso kabla hajaendelea na safari yake ya kutafuta wa ubavu wake😅

Kila la heri katika safari hii dogo na ufanikiwe, ila uttafika ukiwa hoi.
 
Yaani mtumishi wa umma huko mtaani kwenu hujaona mwanamke wa kuoa uje umtafute JF? Hapa hakuna kama wewe ni domo zege shauri yako! Hapa utakutana na ma Miss Natafuta ndiyo utajuta!
Acha kushoboka dogo .unajua id yangu .ni ya lini?
Wapi nimesema nipo single kenge wewe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom