AhsanteMungu akupe hitaji lako..
Nyie wenye madigrii hamtakiwi?Mungu akupe hitaji lako..
Nyie wenye madigrii hamtakiwi?
Sitafuti malaya.Njoo PM na elfu 50 upewe connection.
connection mpaka kwenye mke jamani...Njoo PM na elfu 50 upewe connection.
Uko sahihi,kuna jamaa zangu nikiwafanyia connection kwa wanafunzi wangu waliomaliza kidato cha nne,na leo hii wana familia zilizosimama vyema.Njoo PM na elfu 50 upewe connection.
Sheeendwaaa pepo mchafu
atakua huwa haudhurii vikao huyu.Si mmekubaliana marufuku kuoa wake wa JF?we hujahudhuria Vikao sio?
Mstueni,huku msala🤣🤣🤣atakua huwa haudhurii vikao huyu.
hapana, inabidi aachwe ili likimkuta aanze kuhudhuria vikao.Mstueni,huku msala