Mimi ninaishi na vvu nimetengana mke wangu baada ya kugundua kuwa mimi ni mwadhirika hali yangu ni mzuri huwezi kunitambua kwa macho na ninatumia arv kwahiyo natafuta mwenzangu anu PM awe katika hali nzuri.
Unadhani utaishi milele??jaribu kua mstaarabu hakuna ulazima wa kuchangia km hauwezi kumpa ushauri. Kijava naamini kila kitu kinawezekana bado ipo nafasi kumpata mke mwenye hali km yako ila mpate pia ushauri wa wataalamu maana nasikia virusi vikiwa tofauti ni tatizo pia.
pole kakayngu...hyo yote ni maisha..na magonjwa tumewekewa binadamu sio wanyama...mungu akusikie hitaji la moyo wako akupe mke mwema mtakayeishi kwa upendona amani..kwani naamini mnaweza hata kupata watoto wasio na viambukizi...binafsi nimependa sana ulivyojitambulisha kuliko wanaojifanya wazima huku wanaambukiza wenzao kwa makusudi....mungu akubalik sana..
Wewe ni unwise person na wala watu hawapaswi kukusikiliza kwa lolote utakalo ongea. Watu wanategemea ushauri au kumsaidia katika ombi lake. Nadhani hata mambo yako yatakuwa yahovyo hovyo tu yasiyo na mwelekeo. Nani amekwambia kuwa vvu ni kufa? Angalia usijetangulia wewe na ukawaacha wengi tu wenye hivyo virus.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.