ufumawicha
JF-Expert Member
- Mar 16, 2014
- 504
- 209
- Thread starter
- #121
Sijaona meseji yako!!!!!MImi nilikupiyem
Sijaona meseji yako!!!!!MImi nilikupiyem
Umefanya vyema. Hata kichaa huwa anataka kuwa recognised kama ana mtoto na yupo proud mno na watoto wake, sembuse wewe mwenye akili zako timamu. Na kwa nini mtu afiche watoto wake, anawaonea aibu au? Tena mtu akija, maongezi ya kwanza tu shurti ajue una watoto, aamue kusuka ama kunyoa. Watoto wako, priority yakoKaka sijazoea kusema uongo.Ukweli ni kwamba hata ukificha huna watoto kuumbuka ni rahisi.Mwenza wako akigundua kuituliza hiyo hali inaweza kukugharimu!!!!
Sawa mpendwaNadhani nimejieleza vya kutosha,kama uko interested nipm.Tuongee kwa kirefu.
Hatushindwiiiiiii!!
Dota ushindwe mwenyewe tu sasa.
Yaaani mm nimefit kabisaaaaMimi umri wangu ni miaka 40. Nilikuwa masomoni nje ya nchi. Natafuta mke.
Niliwahi kuwa na mahusiano na nina watoto wawili na ninawapenda sana.
Dini yangu mkristo. Mke awe mkristo. Umri wa mke kuanzia 25 ila umbile liwe la ki utu uzima!
Aliye tayari aniPM.
kkweli house girl ni mpango mzimaKirahisi hivyo?
Tafuta house girl... Kaa naye miezi sita... Moja Kwa Moja atakuwa mke na atakuongozea mtoto mmoja
Na daddy alivyonichoka home, nahisi atanisaidia kufanya application kabisa
Na daddy alivyonichoka home, nahisi atanisaidia kufanya application kabisa
Nimechokwaaa
Yaani akiiona hii ujue yeye ndio atafanya application.
Ila anaongeaga tu kujifurahisha, mbona ukiondoka siku mbili tu anaanza kukuulizia.Nimechokwaaa
Embu kakojoe ulale..Kwani we Mgumba?Hatushindwiiiiiii!!
Huyu tumtafutie mdogo wake amlee..Inaonekana anapenda sana kulea watoto
Ana mbwembweeeeIla anaongeaga tu kujifurahisha, mbona ukiondoka siku mbili tu anaanza kukuulizia.
Embu kakojoe ulale..Kwani we Mgumba?