Natafuta mke anayependelea dona na vyakula asili

Natafuta mke anayependelea dona na vyakula asili

Mastamind

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2013
Posts
1,316
Reaction score
840
Me ni mpenzi wa dona na vyakula vya asili sana, vicvyo kaangwa,
mabagga, masoseji na maartificial yote kwang co upendeleo sana

sifa zngne awe mwembamba na acwe mfupi

tuwacliane pm kwa mapicha na makila kitu
 
Hahaha. Hata ningekuwa single ningeshafeli asubuhi. Nyanya chungu, bamia, mihogo, haipandi.Dona na viazi vitamu napenda.
 
hapa ninahisi hata huyo mke atapaka lotion ya asili yenu.parachichi nazi mafuta ya simba kama zile kabila zenye harufu moja tu ya utambulisho ambayo hata wanyama wanaijua. mabinti wa leo humpati mtu kwa vyakula hivyo mkuu kivipika pia hawajui ilikua zamani sana hiyo
 
Hahaha. Hata ningekuwa single ningeshafeli asubuhi. Nyanya chungu, bamia, mihogo, haipandi.Dona na viazi vitamu napenda.

Achana na huyo mwanaume ambaye hana hivyo vitu, chakamkia furusa!
 
hapa ninahisi hata huyo mke atapaka lotion ya asili yenu.parachichi nazi mafuta ya simba kama zile kabila zenye harufu moja tu ya utambulisho ambayo hata wanyama wanaijua. mabinti wa leo humpati mtu kwa vyakula hivyo mkuu kivipika pia hawajui ilikua zamani sana hiyo




kwi, kwi, kwii,,!!

Mbona Ngoyayi hanukii ivoo?
acheni wivu wa ....
 
Kizazi hiki cha insta na fcbuku,we utapiga nyeto sana.km vipi unalioa dona lako kabla halijapoa
 
  • Thanks
Reactions: amu
sijawahi kula bagga wala pizza hivi zina ladha gani nilikula soseji kwa kulazimishwa kwa hiari yangu nisingezila ambaye anajua ladha yake tafadhali kama ni tamu kuliko kitumbua
 
sijawahi kula bagga wala pizza hivi zina ladha gani nilikula soseji kwa kulazimishwa kwa hiari yangu nisingezila ambaye anajua ladha yake tafadhali kama ni tamu kuliko kitumbua

Shukuru ndugu hujazila kwa kawa zinanenepesha na kuleta maradhi tuu , wengine tunakula kwa sababu hatuna alternative ways kwa busy ratiba sometimes . Ndugu endelea tuu kula chakula halisi dear Kwani hivyo ni vya ukweli. Thanks!
 
Kizazi hiki cha insta na fcbuku,we utapiga nyeto sana.km vipi unalioa dona lako kabla halijapoa



unaonekana kulijua vyema dona mkuu
hadi unajua linaliwagwa likiwa bado motto,,
ila zuieni2 mafuriko kwa kope
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom