Natafuta mganga wa kienyeji

Natafuta mganga wa kienyeji

Pole sana sikushauri hata maramoja uingie huko
Hakufai
Kuna kafara
Kuna matambiko
Kuna mateso
Kuna maagano mabaya kabisa
Nasema tena sikushauri abadan
Fanya hivi
Jibidiishe na biashara yako
Jifunze mbinu mbalimbali za kukuza biashara
Zingatia muda
Zingatia matumizi
Thamini kila dakika kila sent
Kuwa na kumbukumbu za biashara
Jifunze kwa waliofanikiwa

Tiba pekee isiyo na madhara utakayotumia bila shida na bila gharama ni chumvi ya mawe
Changanya kiganja kimoja kwenye ndoo ya lita 20 ogea mara 2 kwa siku kisha eneo lako la biashara mwaga chumvi kulizunguka ndani na nje
Kaka ili chumvi ya mawe ifanye kazi ni lazima isomewe dua mbili muhimu.Dua moja inasomwa Mara sabini na tano na dua nyingine inasomwa Mara sabini na tano kisha mhusika anatumia kuoga asubuhi na usiku kwa siku saba inshaalah inafungua vifungo vyote .

Hata hivyo kafara ni muhimu sana katika biashara kama MTU yupo serious kweli kwa sababu hakuna uchawi unaweza kusimama bila kafara ya damu .

Kafara ndio miguu ya kusimamisha agano lolote lile.
Huyo mdada hayupo serious
Huwezi pata dawa ya uhakika ya biashara bila kufanya kafara

Pesa hazitafutwi kikristo.

Unless otherwise aende akapige makofi kanisani
 
Kaka ili chumvi ya mawe ifanye kazi ni lazima isomewe dua mbili muhimu.Dua moja inasomwa Mara sabini na tano na dua nyingine inasomwa Mara sabini na tano kisha mhusika anatumia kuoga asubuhi na usiku kwa siku saba inshaalah inafungua vifungo vyote .

Hata hivyo kafara ni muhimu sana katika biashara kama MTU yupo serious kweli kwa sababu hakuna uchawi unaweza kusimama bila kafara ya damu .

Kafara ndio miguu ya kusimamisha agano lolote lile.
Huyo mdada hayupo serious
Huwezi pata dawa ya uhakika ya biashara.

Pesa hazitafutwi kikristo.

Unless otherwise aende akapige makofi kanisani
😂😂😂😂my ribs
 
Najua mtashangaa natafuta mganga wa kienyeji ndio baada ya biashara zangu kushuka kwa muda mrefu nikaona mnisaidie mimi nasomaga tu jamii forum ila leo nimeona tu nijiunge niseme ukweli mimi ni mwanamke umri haujaenda sana ila nipo serious anayejua anipm maneno ya kupondeana sina muda huo nipo serious ila naomba msinielekeze kwa wanaotoa kafara siwezani na hilo.
Nataka biashara zangu tu ziende vizuri.
Nategemewa sana na familia yangu .
Naombeni msaada mimi sijatumwa na mtu nimejituma .
NIPO.SERIOUS KABISA.

Mtaji wa biashara yako ni sh ngapi? umepanga kutumia Sh ngapi kwa shughuli hii ya kunusuru biashara yako?
 
Najua mtashangaa natafuta mganga wa kienyeji ndio baada ya biashara zangu kushuka kwa muda mrefu nikaona mnisaidie mimi nasomaga tu jamii forum ila leo nimeona tu nijiunge niseme ukweli mimi ni mwanamke umri haujaenda sana ila nipo serious anayejua anipm maneno ya kupondeana sina muda huo nipo serious ila naomba msinielekeze kwa wanaotoa kafara siwezani na hilo.
Nataka biashara zangu tu ziende vizuri.
Nategemewa sana na familia yangu .
Naombeni msaada mimi sijatumwa na mtu nimejituma .
NIPO.SERIOUS KABISA.

Nenda kanisani ukapige makofi Wewe.Huwezi pata uchawi wa biashara bila kutoa kafara ya damu.kubwa.

Pesa haitafutwi kikristo
 
Jikite kuomba kwa Mwenyezi Mungu dadaa, achana na waganga watakulia pesa zako na biashara zako zidrop kabisa, kama ingelikuwa wana huo uwezo wa kumtajirisha mtu basi wao wakwanza wangetajirika.
 
Kaka ili chumvi ya mawe ifanye kazi ni lazima isomewe dua mbili muhimu.Dua moja inasomwa Mara sabini na tano na dua nyingine inasomwa Mara sabini na tano kisha mhusika anatumia kuoga asubuhi na usiku kwa siku saba inshaalah inafungua vifungo vyote .

Hata hivyo kafara ni muhimu sana katika biashara kama MTU yupo serious kweli kwa sababu hakuna uchawi unaweza kusimama bila kafara ya damu .

Kafara ndio miguu ya kusimamisha agano lolote lile.
Huyo mdada hayupo serious
Huwezi pata dawa ya uhakika ya biashara bila kufanya kafara

Pesa hazitafutwi kikristo.

Unless otherwise aende akapige makofi kanisani
mh!!....
 
Utakufa, utatoa makafara ya kuku, mbuzi, ng'ombe, wajomba, mashangazi, mabinamu, siblings, wazazi hatimaye wewe mwenyewe utachukuliwa msukule.
Kuyumba kwa biashara ni hali ya kawaida sana, hasa kwenye utawala huu unaodhulumu wanyonge huku ukijinadi kuwa unatetea wanyonge
Najua mtashangaa natafuta mganga wa kienyeji ndio baada ya biashara zangu kushuka kwa muda mrefu nikaona mnisaidie mimi nasomaga tu jamii forum ila leo nimeona tu nijiunge niseme ukweli mimi ni mwanamke umri haujaenda sana ila nipo serious anayejua anipm maneno ya kupondeana sina muda huo nipo serious ila naomba msinielekeze kwa wanaotoa kafara siwezani na hilo.
Nataka biashara zangu tu ziende vizuri.
Nategemewa sana na familia yangu .
Naombeni msaada mimi sijatumwa na mtu nimejituma .
NIPO.SERIOUS KABISA.
 
Pole sana sikushauri hata maramoja uingie huko
Hakufai
Kuna kafara
Kuna matambiko
Kuna mateso
Kuna maagano mabaya kabisa
Nasema tena sikushauri abadan
Fanya hivi
Jibidiishe na biashara yako
Jifunze mbinu mbalimbali za kukuza biashara
Zingatia muda
Zingatia matumizi
Thamini kila dakika kila sent
Kuwa na kumbukumbu za biashara
Jifunze kwa waliofanikiwa

Tiba pekee isiyo na madhara utakayotumia bila shida na bila gharama ni chumvi ya mawe
Changanya kiganja kimoja kwenye ndoo ya lita 20 ogea mara 2 kwa siku kisha eneo lako la biashara mwaga chumvi kulizunguka ndani na nje
Chumvi ya mawe inafanyaje kazi?
 
Pole sana sikushauri hata maramoja uingie huko
Hakufai
Kuna kafara
Kuna matambiko
Kuna mateso
Kuna maagano mabaya kabisa
Nasema tena sikushauri abadan
Fanya hivi
Jibidiishe na biashara yako
Jifunze mbinu mbalimbali za kukuza biashara
Zingatia muda
Zingatia matumizi
Thamini kila dakika kila sent
Kuwa na kumbukumbu za biashara
Jifunze kwa waliofanikiwa

Tiba pekee isiyo na madhara utakayotumia bila shida na bila gharama ni chumvi ya mawe
Changanya kiganja kimoja kwenye ndoo ya lita 20 ogea mara 2 kwa siku kisha eneo lako la biashara mwaga chumvi kulizunguka ndani na nje
Mkuu ukishachanganya chumvi na maji unaogea bafuni kama kawaida?
 
Kaka ili chumvi ya mawe ifanye kazi ni lazima isomewe dua mbili muhimu.Dua moja inasomwa Mara sabini na tano na dua nyingine inasomwa Mara sabini na tano kisha mhusika anatumia kuoga asubuhi na usiku kwa siku saba inshaalah inafungua vifungo vyote .

Hata hivyo kafara ni muhimu sana katika biashara kama MTU yupo serious kweli kwa sababu hakuna uchawi unaweza kusimama bila kafara ya damu .

Kafara ndio miguu ya kusimamisha agano lolote lile.
Huyo mdada hayupo serious
Huwezi pata dawa ya uhakika ya biashara bila kufanya kafara

Pesa hazitafutwi kikristo.

Unless otherwise aende akapige makofi kanisani
 
Utakufa, utatoa makafara ya kuku, mbuzi, ng'ombe, wajomba, mashangazi, mabinamu, siblings, wazazi hatimaye wewe mwenyewe utachukuliwa msukule.
Kuyumba kwa biashara ni hali ya kawaida sana, hasa kwenye utawala huu unaodhulumu wanyonge huku ukijinadi kuwa unatetea wanyonge
Sintakufa bali nitaishi
 
Umejuaje kua baada ya biashara zako kushuka mganga wa kienyeji ndiye atakayezipandisha?

Umejaribu ku study root cause ya biashara zako kushuka?

Huko kwa mganga ndio sasa unaenda kushuka na wewe pia na sio biashara zako tu!
huyo mganga kama anaweza kuzipandisha biashara zako si angekua yeye ni mfanyabiashara mkubwa tuu?!
Hiyo akili ungeitumia kuwaza na kubuni biashara nzuri ya kukuingizia kipato nadhani ungefika mbali sana.Kazaa kumuamini Mungu na yeye ndo mganga wa waganga wote.
Nilijua tu lazma atawekwa yesu hapa.

Kwani yeye yesu hamjui mpaka unamlazimisha aende kwa yesu aisee...?. Usipende kukariri vitu ndugu.

Acha mawazo mgando bwana.
Yesu ndio kila kitu duniani na mbinguni, wagangacwatampoteza tu
 
Yesu ndio kila kitu duniani na mbinguni, wagangacwatampoteza tu
Kweli YESU NDIO NJIA PEKEE MAOMBI NDIO NJIA SAHIHI YA KILA SIKU NA KILA SAA UNADHANI SIJUI NAJUA BIBLIA SANA TU.
NAMPENDA YESU WANGU SANA KUSHINDA DUNIA NZIMA ILA UNAJUA WHY NAHITAJI.
1.Namiaka 30 sina mume nikipata naachika wengine wanauwawa.
2.sina kazi nanikipata nafukuzwa bila shida baada yakutoka ukikutana na meneja anakuambia hivi ulitokaje hapo kwetu.
Namjibu siulinifukuza mimi anashangaa mana sio yeye.
Nimeishi ndani ya dini maisha yangu yote mimi ni mtoto wa pastor napia nimekaa mpaka sasa 18-30 sijaolewa sina kazi familia yangu ni wamefukuzwa umeruni wengine wamekatwa katwa nyumba tumeacha imechomwa.
Halafu tunapanga kwetu hakuna aliyeoa au kuolewa mpaka wengine wanakaribia 40 hawana watoto.
Kila siku unawaza unaolewa lini.
Halafu kwa sasa hakuna atakayekuoa hivi unajisikiaje?
Nikuombe kitu achana na maisha ya watu kwa maana hujui watu wanakotokea .
Sio sijui najua .
Mpaka sasa ni Mungu amenipa uhai kabisa
 
Back
Top Bottom