Yaani huyu hata hajui maisha ninini Mungu wangu. embu msaidieni, anyway kama shida ni mtoto anaweza akaenda kuadopt kwenye vituo wako wachanga kibao aache ununda hapa
anataka kurahatupika, jaribu huku, rahatupu.blogsport.com/ teh teh teh, anataka kula tundi, Jitoe muhanga uoe lijulikane moja ili uwe na constant supply!
Watu unafiki jamani. Wengine wana watoto kila kijiji na hawahudumii walishawakana watoto.
Si bora huyu mkweli? Mi watu wanafiki na waongo nawachukia sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.