Bishanga
JF-Expert Member
- Jun 29, 2008
- 15,321
- 10,077
Acha kuntia wivumpe namba yangu anipigie nim-surrogacy
Acha kuntia wivumpe namba yangu anipigie nim-surrogacy
Du hujui Majanga kweli Majanga haya ni MajangaDefine "majanga"
Tafuta surrogate mother,mlipe akufanyie kazi na atakukabidhi mtoto wako na msijuane milele.
Sidhani kama hii ni sifa muhimu sana ya kuzaa, mi nilidhani utasema lazima awe amevunja ungo nakadhalika
Acha kuntia wivu
atapataje mapenzi ya wote wawili wakati wewe utakuwa Mashariki na mtoto magharibi na mama ake,au wakati mtoto atakuwa ndogo utakaa na huyo mama cos hicho ni kipindi cha kumsaidia saaana.au wewe unaangalia kumsaidia mama financially na sio kuwa supportive in a dufferent way.....,kumpata nimpendae kwa dunia ya sasa itanichukua muda. nataka nitimize ndoto yangu ya kupata mtoto mapema hayo ya ndoa yatafuatia. nimelelewa na wazazi wote na mwanangu pia atapata malezi ya pande zote
Sidhani kama hii ni sifa muhimu sana ya kuzaa, mi nilidhani utasema lazima awe amevunja ungo nakadhalika
hahahahhah nilikaa na maproff fulani siku moja nilicheka sana!kaka mmja alichukia nusu kupigana pale walimuuliz tu wewe ni mtoto wa baaba yako?tudhihirishie! aiseee aliulizwa swali kma hilo jama a yule alikasirika sanaAliyekwambia wewe ni damu ya babako ni nani? na Unamwamini?
Jamani kama kichwa cha habari kinavyojieleza ninahitaji kupata mtoto na nimeonelea nitafute mwanamke/mdada ambaye yuko tayari kwa hilo kisha tukubaliane terms & conditions.
Ningependa mhusika awe na sifa zifuatazo
1) Awe na shughuli halali inayomwingizia kipato
2) Dini yeyote, kabila lolote. Ila asiwe extremist
3) awe tayari kuzaa bila kuhusisha mambo ya kuoana.
4) Umri kuanzia miaka 25 mpaka 32.
Terms & Conditions
*** Vipimo vyote vya afya vitachukuliwa ili kujiridhisha kuhusu usalama wetu na wa mtoto wetu pia.
1) Nitagharamia kwa 100% matunzo yote ya mtoto kuanzia mimba, kuzaa mpaka malezi. pale nitakapokwama ndipo atakuwa ananisaidia.
2) Awe tayari kuruhusu vipimo vya DNA in case any doubt arise.
3) Kwenye kadi ya Klinik nitambulike kama baba wa mtoto tangu mwanzoni kabisa
4) No ndoa attached, atakuwa huru kuolewa iwapo atapenda, na mimi pia nitakuwa huru na maisha yangu.
5) mengine tutayajadili kadri muda utakavyoruhusu.
Kuhusu mimi
1) Kijana Mtanzania miaka 26
2) Mpole, mtanashati
3) Mrefu, mwembamba, mweusi
4) Nimeajiriwa na pia ninamiliki biashara zangu
5) Ninataka niweze kupata mtoto mapema
Asanteni na Karibuni
Ray
Wewe huna hata kigezo kimoja cha kuwa Mume, sasa utapata vipi Mwanamke mwenye vigezo hivyo?Tatizo ni kumpata mwanamke mwenye vigezo vyote vya kuwa mke, huko mbeleni nikimpata basi tutaoana.
kumpata nimpendae kwa dunia ya sasa itanichukua muda. nataka nitimize ndoto yangu ya kupata mtoto mapema hayo ya ndoa yatafuatia. nimelelewa na wazazi wote na mwanangu pia atapata malezi ya pande zote
Jamani kama kichwa cha habari kinavyojieleza ninahitaji kupata mtoto na nimeonelea nitafute mwanamke/mdada ambaye yuko tayari kwa hilo kisha tukubaliane terms & conditions.
Ningependa mhusika awe na sifa zifuatazo
1) Awe na shughuli halali inayomwingizia kipato
2) Dini yeyote, kabila lolote. Ila asiwe extremist
3) awe tayari kuzaa bila kuhusisha mambo ya kuoana.
4) Umri kuanzia miaka 25 mpaka 32.
Terms & Conditions
*** Vipimo vyote vya afya vitachukuliwa ili kujiridhisha kuhusu usalama wetu na wa mtoto wetu pia.
1) Nitagharamia kwa 100% matunzo yote ya mtoto kuanzia mimba, kuzaa mpaka malezi. pale nitakapokwama ndipo atakuwa ananisaidia.
2) Awe tayari kuruhusu vipimo vya DNA in case any doubt arise.
3) Kwenye kadi ya Klinik nitambulike kama baba wa mtoto tangu mwanzoni kabisa
4) No ndoa attached, atakuwa huru kuolewa iwapo atapenda, na mimi pia nitakuwa huru na maisha yangu.
5) mengine tutayajadili kadri muda utakavyoruhusu.
Kuhusu mimi
1) Kijana Mtanzania miaka 26
2) Mpole, mtanashati
3) Mrefu, mwembamba, mweusi
4) Nimeajiriwa na pia ninamiliki biashara zangu
5) Ninataka niweze kupata mtoto mapema
Asanteni na Karibuni
Ray
Miaka 26 ni umri unakuruhusu kuoa kabisa ikizingatia unasema una kazi na biashara zako. Nakushauri uoe ili mtoto atakaye zaliwa apate malezi mazuri ya wazazi wote.
Jamani kama kichwa cha habari kinavyojieleza ninahitaji kupata mtoto na nimeonelea nitafute mwanamke/mdada ambaye yuko tayari kwa hilo kisha tukubaliane terms & conditions.
Ningependa mhusika awe na sifa zifuatazo
1) Awe na shughuli halali inayomwingizia kipato
2) Dini yeyote, kabila lolote. Ila asiwe extremist
3) awe tayari kuzaa bila kuhusisha mambo ya kuoana.
4) Umri kuanzia miaka 25 mpaka 32.
Terms & Conditions
*** Vipimo vyote vya afya vitachukuliwa ili kujiridhisha kuhusu usalama wetu na wa mtoto wetu pia.
1) Nitagharamia kwa 100% matunzo yote ya mtoto kuanzia mimba, kuzaa mpaka malezi. pale nitakapokwama ndipo atakuwa ananisaidia.
2) Awe tayari kuruhusu vipimo vya DNA in case any doubt arise.
3) Kwenye kadi ya Klinik nitambulike kama baba wa mtoto tangu mwanzoni kabisa
4) No ndoa attached, atakuwa huru kuolewa iwapo atapenda, na mimi pia nitakuwa huru na maisha yangu.
5) mengine tutayajadili kadri muda utakavyoruhusu.
Kuhusu mimi
1) Kijana Mtanzania miaka 26
2) Mpole, mtanashati
3) Mrefu, mwembamba, mweusi
4) Nimeajiriwa na pia ninamiliki biashara zangu
5) Ninataka niweze kupata mtoto mapema
Asanteni na Karibuni
Ray
Aliyekwambia ng'ombe mzee hana maini ni nani??
Au unadhani utamu wa maini ya ng'ombe mzee umechujuka??
Asante sana......nini kuanza kutafutana kipato, dini, no string attached na kadhalika?