Natafuta Mdada wa kuzaa naye mtoto

Natafuta Mdada wa kuzaa naye mtoto

Kuzaa kidigital.jpg kama tunazaa kwa njia hii niko tayari kianalogia sitaki nataka Ki Digital zaidi. Chezea Digital weweee
 
Nenda hospitali kubwa waeleze kuwa unataka mtoto wa damu yako.Watachukua mbegu zako na yai la mwanamke kisha watamkuzia kwenye kifaa maalumu. Huyo atakuwa ni mtoto wako wa halali bila kujamiiana na mama muhusika
 
Yaani huyu hata hajui maisha ninini Mungu wangu. embu msaidieni, anyway kama shida ni mtoto anaweza akaenda kuadopt kwenye vituo wako wachanga kibao aache ununda hapa

Watu wamechanganyikiwa eeeehh??? mhh huko tunakoenda mimi hata sipajui.
 
aiseeeeeeeeeeeeee% kuna tatizo kubwa hapa duniani.
 
Daaaaaaaaaaah hii ni hatari.........unafikiri ni vyema sana mtoto atakayezaliwa ayakute malezi hayo?Baba mbeya na mama singida.
 
Sitaweza kuwajibu wote ila kimsingi hili ni wazo ambal nimelitafakari kwa kina na nimeonelea ni vyema kufanya jambo ambalo moyo wangu umeridhia na ndiyo maana sijakusudia kubaka ama kulazimisha mtu, nina imani wapo akina dada ambao wangependa kupata mtoto bila ndoa. Nawashauri msitumie lugha za hasira wala kejeli kwenye kujadilili hili suala, busara ndiyo nguzo na ni lazima tukubali kutokubaliana kwenye maisha, kile unachoamini ni sahihi kwangu kinaweza kisiwe sahihi na kinyume chake pia.

Asanteni.
Ray
 
Vp mwenzetu umelelewa na mzazi mmoja nini?cz wengi wanaotaka hivyo wamelelewa na mzazi mmoja hasa wa kiume(baba)
 
Mkuu, jigijigi vipi, utalipia au utafaidi dezo? Maana jigijigi na mtoto ni mambo mawili tofauti. Mtu anaweza kupata mtoto bila jigijigi.
Huyo mdada akipata 'uhitaji' wakati huo wa ujauzito itakuwaje kweli, utakuwepo kumtimizia? Au itabidi atafute 'jakubumba' ajikidhi mwenyewe?

UMK, kny wadada wa jf.
 
Kuna tofauti kati ya mzazi na mzazi bora! Unalotaka kulifanya litakuondoa kwenye mzazi bora. Unajua hasara za kutokuwa mzazi bora?
 
Vp mwenzetu umelelewa na mzazi mmoja nini?cz wengi wanaotaka hivyo wamelelewa na mzazi mmoja hasa wa kiume(baba)

nimelelewa na wazazi wawili. na mpaka sasa wako pamoja. sidhani kama kuna uhusiano na malengo yangu
 
Mkuu, jigijigi vipi, utalipia au utafaidi dezo? Maana jigijigi na mtoto ni mambo mawili tofauti. Mtu anaweza kupata mtoto bila jigijigi.
Huyo mdada akipata 'uhitaji' wakati huo wa ujauzito itakuwaje kweli, utakuwepo kumtimizia? Au itabidi atafute 'jakubumba' ajikidhi mwenyewe?

UMK, kny wadada wa jf.

yeye pia atakuwa na haki ya kunipa terms & conditions zake cha msingi ni makubaliano kati yetu
 
Ni kweli kila mtu anamfumo wake maisha lkn malezi bora ya mtoto yanataka mshikamano na kuwa ki2 kimoja kt ya baba na mama na siyo mb ya mkataba.
 
Mpinga Kristo ameharibu sana tabia za wanadamu mpaka mtu anatangaza hadharani kwamba anatafuta mwanamke wa kuzini naye nje ya ndoa...????!!! Ni afadhali Yehova Aiangamize dunia/umma wa waovu kabla hawajatu-contaminate sisi walokole tusio na dhambi, yaani tuliosamehewa dhambi na tuliobarikiwa na Bwana wetu Yesu Kristo.
 
I think u ar not serious n hujui nn unasema jaman mtaa nzma umekosa mpk utafute kwy mtandao pole
 
baba ako angefanya kama unavotaka kufanya ungemjua mama ako?
 
26 years! kijana na ujana wako wote unatafuta mtu wa kuzaa nae mtandaoni....au?????????
 
Back
Top Bottom