DUBULIHASA
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 3,611
- 6,037
Natafuta mke awe na matako makubwa hata kama hana elimu haina shida maana matako ndio elimu aliyoichagua yeye.
Na ufukue kaburi uchukue sampo ukapime DNA kuthibitisha kama ni yeye kweliUnaoa mtu aliye na mtot hakikisha Bab mtot amefariiki au amemuua wee mwenyewe na uoneshwe kaburi lake na cheti chake ukipate
Kutongoza ni kipaji, wanawake wa siku hizi wana confidence mno, unampiga vocal huku amekukazia macho bila kupepesa mpaka unaanza kusahau mistari mingineHivi huwa huk0 mtaani wanawake hamuwa0ni au...?
Mimi si nip0 😂😂Sasa sisi wa miaka24 ndo tusubir adi tufike35
Tafuta pesa kijana haya yote yatakujaMimi ni kijana umri 36, nina elimu ya college, sijawahi kuoa na sina mtoto, napatikana Dar.
Natafuta rafiki wa kike umri 30-34, awe na elimu angalau form 4, asiwe amewahi kuolewa, kama ana mtoto asizidi 1, nahitaji mtu mwenye malengo na mawazo ya kimaendeleo.
Nahitaji mtu ambae kama tukiendana tuje kuingia kwenye mahusiano, kwa aliyetayari aje inbox.
Wewe unanifaa mimi, achana na huyo jamaaArround 25-28
Utahudhuria. Hiyo ndo sahihiUtaudhulia❎-Utaudhuria✔️
Usijari❎-Usijali✔️
Tuishi Humo Mdogo Wangu!!!
Kuna mwamba ataliwa za kichwa huko PMNakupa number ya dada angu ana miaka 34 hajaoelewa anatokea familia ya kitajiri ana mtoto mmoja ana gari tatu ameshajenga nyumba mbili kule madale anafanya kazi BOT ana maduka manne ya spear .... kwa shape ni mrefu ana tako mzuri sana.... alizaa na waziri mmoja wakaachana .. mkuu kama unataka hii number 90000tsh upate mke wa maaana ..pia uwage umasikini maana unaoneka wewe ni kapuku .. nakupa connection ya hela wahi leta 90000tsh hiyo
👍👍👍 Ukweli kabisa
Wewe unanifaa mimi, achana na huyo jamaa
Ulitaka useme nini hapa manzi?
🤒kumbe uko available....
wacha nijiongeze😂
36 yrs huna Hata wa kusingiziwa meen,ulikuwa unajitunza?
Miaka 36 na hujaoa, huna mtoto, poleMimi ni kijana umri 36, nina elimu ya college, sijawahi kuoa na sina mtoto, napatikana Dar.
Natafuta rafiki wa kike umri 30-34, awe na elimu angalau form 4, asiwe amewahi kuolewa, kama ana mtoto asizidi 1, nahitaji mtu mwenye malengo na mawazo ya kimaendeleo.
Nahitaji mtu ambae kama tukiendana tuje kuingia kwenye mahusiano, kwa aliyetayari aje inbox.
Yawezekana no kasisi aliyeasi36 yrs huna Hata wa kusingiziwa meen,ulikuwa unajitunza?
Huyo mwenye mtoto mmoja unaitaji kuona kaburi la baba wa mtoto?Mimi ni kijana umri 36, nina elimu ya college, sijawahi kuoa na sina mtoto, napatikana Dar.
Natafuta rafiki wa kike umri 30-34, awe na elimu angalau form 4, asiwe amewahi kuolewa, kama ana mtoto asizidi 1, nahitaji mtu mwenye malengo na mawazo ya kimaendeleo.
Nahitaji mtu ambae kama tukiendana tuje kuingia kwenye mahusiano, kwa aliyetayari aje inbox.