Natafuta mchumba

Natafuta mke awe na matako makubwa hata kama hana elimu haina shida maana matako ndio elimu aliyoichagua yeye.
 
Mimi ni kijana umri 36, nina elimu ya college, sijawahi kuoa na sina mtoto, napatikana Dar.

Natafuta rafiki wa kike umri 30-34, awe na elimu angalau form 4, asiwe amewahi kuolewa, kama ana mtoto asizidi 1, nahitaji mtu mwenye malengo na mawazo ya kimaendeleo.

Nahitaji mtu ambae kama tukiendana tuje kuingia kwenye mahusiano, kwa aliyetayari aje inbox.
Tafuta pesa kijana haya yote yatakuja

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
Nakupa number ya dada angu ana miaka 34 hajaoelewa anatokea familia ya kitajiri ana mtoto mmoja ana gari tatu ameshajenga nyumba mbili kule madale anafanya kazi BOT ana maduka manne ya spear .... kwa shape ni mrefu ana tako mzuri sana.... alizaa na waziri mmoja wakaachana .. mkuu kama unataka hii number 90000tsh upate mke wa maaana ..pia uwage umasikini maana unaoneka wewe ni kapuku .. nakupa connection ya hela wahi leta 90000tsh hiyo
Kuna mwamba ataliwa za kichwa huko PM
 
Mimi ni kijana umri 36, nina elimu ya college, sijawahi kuoa na sina mtoto, napatikana Dar.

Natafuta rafiki wa kike umri 30-34, awe na elimu angalau form 4, asiwe amewahi kuolewa, kama ana mtoto asizidi 1, nahitaji mtu mwenye malengo na mawazo ya kimaendeleo.

Nahitaji mtu ambae kama tukiendana tuje kuingia kwenye mahusiano, kwa aliyetayari aje inbox.
Miaka 36 na hujaoa, huna mtoto, pole

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Mimi ni kijana umri 36, nina elimu ya college, sijawahi kuoa na sina mtoto, napatikana Dar.

Natafuta rafiki wa kike umri 30-34, awe na elimu angalau form 4, asiwe amewahi kuolewa, kama ana mtoto asizidi 1, nahitaji mtu mwenye malengo na mawazo ya kimaendeleo.

Nahitaji mtu ambae kama tukiendana tuje kuingia kwenye mahusiano, kwa aliyetayari aje inbox.
Huyo mwenye mtoto mmoja unaitaji kuona kaburi la baba wa mtoto?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom