The Messenger
JF-Expert Member
- Jul 2, 2014
- 1,523
- 812
Wote nawataka... Mwanaume na kazi![]()
Hahahah! Na wewe mpaka leo huna unatafuta humu? Khaaa

Wote nawataka... Mwanaume na kazi![]()

Kuna tatizoHahahah! Na wewe mpaka leo huna unatafuta humu? Khaaa![]()



Kuna tatizo![]()
Na uzee huo uchezewe na nani?? Labda na wazee wenzioKubwa sana! Kama wanaokuona na kukufahamu hawajapendezwa na wewe sisi humu utatuchezea tuu
Nyooo....si munafata dushe nyie... uliza inchi ngap.... nene au narrowUnafanya kazi gani![]()
Mchezo pochi dushe baki naloNyooo....si munafata dushe nyie... uliza inchi ngap.... nene au narrow
Aaah aaah aaahMchezo pochi dushe baki nalo
Na uzee huo uchezewe na nani?? Labda na wazee wenzio
Si ndo akili zako za kipopoma zinavyokutuma.IdiotWazee ndo wenye experience and well established financial!
Pole sana inaelekea unashida kubwa zaid ya mleta mada
Si ndo akili zako za kipopoma zinavyokutuma.Idiot

Better Idiot than fooltetetteteteteteteNdugu zangu kijana nmefikisha umri wa kuoa hivyo natafuta binti aliyetayari kuolewa awe na umri wa kuanzia miaka 27 kushuka chini [HASHTAG]#asante[/HASHTAG]
Biashara ya kibandaUnafanya kazi gani![]()
Nahitaji mke jamanikazi ndo inakuoa au ni yeye