Natafuta mchumba wa kuolewa/kuoa

Natafuta mchumba wa kuolewa/kuoa

AshaDii

Platinum Member
Joined
Apr 16, 2011
Posts
16,189
Reaction score
18,114
Natafuta mchumba wa kuolewa/kuoa..

Jamani hii title imeanza kupunguza uzito wake hapa Love Connect. Hili ni jamvi la Love Connect but inaonekan sasa kama vile linakua la People Connect. Wanaosaka wapenzi wanatangaza kama vile wanatafuta product.

Kwa wale ambao wako serious kutafuta wachumba awe wa kike au wa kiume walau basi kuweni serious na post mnazotuma kuonesha ni kweli unahitaji huyo mtu.

Tips/Dondoo za kuzingatia kabla hujatuma ombi la kutafuta mwenza:
  • Eleza sifa zako za nje na ndani zikihusisha vitu kama umri, umbo, dini, upendavyo (walau hints), kazi na hata uraia naona pia unamata.
  • Hakikisha hizo sifa ulizotaja za unae muhitaji na wewe pia umeainisha zako.
  • Kama yupo JF please m-PM mana hamna haja ya kutupa wote faida otherwise kama mnatualika harusi.
  • Toa contacts walau e-mail address mana simu utakuwa umepalia makaa..
  • Unapotuma thread onesha basi you mean it maana kama ni utani it is better ikiwa jukwaa la jokes.
  • Na mengineyo ya muhimu
 
Jamani nimetangaza kutafuta mchumba matokeo yake mtu amechukua email yangu na kuanza kunitumia mambo ya kipuuzi na matusi halafu ni mwanaume, sasa hadi imenibidi nitoe post, nini hii?

Au nliielewa tofauti hii Love Connect huenda si kwa matumizi nilivyodhania mie au huwa haiwezekani kupata mpenzi humu? Sababu naona watu masihara yamezidi hata kama mtu uko serious.. Uhuu!!

Najua wengi wanaotubeza sie tunao tafuta wachumba humu huenda wameoa au wameolewa bt sio vzuri wana JF kila kitu kitumike kadri ya matumizi yake yanayostahili.

Kama huhitaji mchumba ya nini kuanza kubeza wenzio wenye nia hiyo? Loh tuelimeke wajemeni.

Madhara yake hapo juu ni mamalamiko ya KAUK.
 
Asha D nilivyoona post hii nimeshituka nikasema kulikoni bibie kumbe sio bana.

Jioni njema
 
Asha D nilivyoona post hii nimeshituka nikasema kulikoni bibie kumbe sio bana.

Jioni njema



Mlimazunzu... pole kwa kusumbuka, nilikua natoa tu tips... Jioni njema nawe pia..
 
Partner nikadhani unatafuta sijui unamtafutia mtu!

Nwy nashukuru kwa niaba ya wale wanaokua wanahitaji wenza kweli maana wengi wetu mi nikiwa mmoja wapo hua nachukulia kama utani.Ila kuna mahali nilikuja kugundua kwamba wapo wanaohitaji na kutafuta kweli kwahiyo hatuna budi kusoma mazingira kabla ya kuweka au kufanyia utani uzi wa mtu!
Na wale waombaji nao waandike kwa style itakayoashiria kwamba wako siriaz....naamini kuna watu hapa wenye mbavu zao wapo hapa hapa kwahiyo tafutaneni tufurahie muungano!!
 
Partner nikadhani unatafuta sijui unamtafutia mtu!

Nwy nashukuru kwa niaba ya wale wanaokua wanahitaji wenza kweli maana wengi wetu mi nikiwa mmoja wapo hua nachukulia kama utani.Ila kuna mahali nilikuja kugundua kwamba wapo wanaohitaji na kutafuta kweli kwahiyo hatuna budi kusoma mazingira kabla ya kuweka au kufanyia utani uzi wa mtu!
Na wale waombaji nao waandike kwa style itakayoashiria kwamba wako siriaz....naamini kuna watu hapa wenye mbavu zao wapo hapa hapa kwahiyo tafutaneni tufurahie muungano!!


hahaha... Partner nifike huku bila wewe kujua mbona ingetakiwa
niwe suspended kabisa... Asante kwa mchango wako ulo ongea ni kweli...
 
Yaani we Asha huwa unanikosha! Mawazo yako yamekaa kimaendeleo zaid, bora ungezaliwa huku kwetu, ningekuwa billionare wa maadili.
 
Umeona eeh... Blackwoman kwanza hio ndo imenifanya nitume huu uzi... nime observe watu wanachulia mzaha...

sasa waambie sharo hiphop hatanii, maana nimechoka na maisha ya ubachela, wakianza kutania tu, nablock hiyo facebook afu na log in kwa majina mengine.
Niko siriaz.
 
Yaani we Asha huwa unanikosha! Mawazo yako yamekaa kimaendeleo zaid, bora ungezaliwa huku kwetu, ningekuwa billionare wa maadili.



lol...... Sharo hata nikiwa mbali waweza kua billionare wa maadili... si ndo hivi tunawasiliana...
 
sasa waambie sharo hiphop hatanii, maana nimechoka na maisha ya ubachela, wakianza kutania tu, nablock hiyo facebook afu na log in kwa majina mengine.
Niko siriaz.


Nimeenda kwenye uzi wako kule... hope umejipanga vya kutosha...lol
 
JAMANI NIMETANGAZA KUTAFUTA MCHUMBA MAToKEO YAKE lijitu IMECHUKUWA E-MAIL YANGU lIMEANZA KUNTUMIA MAMBO ya kipuuzi+mitusi halafu lianaume sasa hadi imenibidi ntoe post NINI HII! au nliielewa tofauti hii love connect huenda si kwa matumizi nlozania mie au huwa haiwezekani kupata MPENZI humu??? sababu naona watu masihala yamezidi hata kama mtu uko serious..Uhuu!! najua wengi wanaotubeza sie tunao tafuta wachumba humu huenda wameoa au wameolewa bt sio vzuri wana jf kila kitu kitumike kadri ya matumizi yake yanayo stahili, kama huhitaji mchumba ya nini kuanza kubeza wenzio wenye nia hiyo lol tuelimeke wajemeni.


madhara yake hapo juu ni mamalamiko ya KAUK

wanafanya Mzaha!
 
Presha ilikuwa imepanda wakati nasoma heading ya thread, content iliyomo ndani ikanifanya mapigo ya moyo yarudi katika hali ya kawaida
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom