Natafuta mchumba wa kuolewa/kuoa

Mee tuu Saint!..lol
Ila Asha bora umepoint out..wengine wanasema 'natafuta mke'!!..sasa mke wa mtu au? lugha bwana!


BelindaJ pole ni otherwise... tayari ninae ningekua sina ningetuma bonge la post...lol

Watu wanachakachua love connect bana, ina boa - I think ikichuliwa serious kila mwezi wana JF tutakuwa tunaalikwa harusini... hilo ndo hasa shida yangu!
 
JAMANI NIMETANGAZA KUTAFUTA MCHUMBA MAToKEO YAKE lijitu IMECHUKUWA E-MAIL YANGU lIMEANZA KUNTUMIA MAMBO ya kipuuzi+mitusi halafu lianaume sasa hadi imenibidi ntoe post NINI HII! au nliielewa tofauti hii love connect huenda si kwa matumizi nlozania mie au huwa haiwezekani kupata MPENZI humu??? sababu naona watu masihala yamezidi hata kama mtu uko serious..Uhuu!! najua wengi wanaotubeza sie tunao tafuta wachumba humu huenda wameoa au wameolewa bt sio vzuri wana jf kila kitu kitumike kadri ya matumizi yake yanayo stahili, kama huhitaji mchumba ya nini kuanza kubeza wenzio wenye nia hiyo lol tuelimeke wajemeni.


madhara yake hapo juu ni mamalamiko ya KAUK

Well said madame, ila sijakuelewa hapo kwenye bluu!
 
That would be lovely, but i suggest you use the one opened here you brother and i were kind of using it .....lol
Hahaha!!! I have a special one which i have just bought it for you actually it's from Champagne Region from France
 
BelindaJ pole ni otherwise... tayari ninae ningekua sina ningetuma bonge la post...lol

Watu wanachakachua love connect bana, ina boa - I think ikichuliwa serious kila mwezi wana JF tutakuwa tunaalikwa harusini... hilo ndo hasa shida yangu!

Dah! imekula kwangu aisee!
 
Jifanye kama hujui kua una CASE ya ushenga... sitaki kongelea itanitia stress... la muhimu umesoma hizo TIPS???
Hizo tips kuna sehem unataka tueleze sifa zetu za ndani. Tukieleza sifa za ndani si sredi zetu zitapelekwa jukwaa la wakubwa?. Naomba ufafanuzi na mifano
 
Hizo tips kuna sehem unataka tueleze sifa zetu za ndani. Tukieleza sifa za ndani si sredi zetu zitapelekwa jukwaa la wakubwa?. Naomba ufafanuzi na mifano


Klorokwini na uchungu wako woote dawa yako ni ndogo...
Kuna dada anatafuta uchumba.. nimependa alivyooandika yani
kwa ufasaha kabisa! Toka kidogo hapo nje ni kama nyumba ya 5
dada anaitwa Foibe... jinsi alivyoandika kama vile kigezo cha marking....
Huo uzi unaitwa NATAFUTA MCHUMBA/MUME WA NDOA...

Usipoelewa hapo ina maana bado under age ya kutafuta.
 
Klorokwini na uchungu wako woote dawa yako ni ndogo...
Kuna dada anatafuta uchumba.. nimependa alivyooandika yani
kwa ufasaha kabisa! Toka kidogo hapo nje ni kama nyumba ya 5
dada anaitwa Foibe... jinsi alivyoandika kama vile kigezo cha marking....
Huo uzi unaitwa NATAFUTA MCHUMBA/MUME WA NDOA...

Usipoelewa hapo ina maana bado under age ya kutafuta.

hehehe Asha D bana! mimi neksti week nataka kulembea sredi hewani sasa nataka nisifanye kosa. Sasa sifa za ndani nilizani unataka tuelezee mpaka size zetu khaaaa! :tape:
 
hehehe Asha D bana! mimi neksti week nataka kulembea sredi hewani sasa nataka nisifanye kosa. Sasa sifa za ndani nilizani unataka tuelezee mpaka size zetu khaaaa! :tape:



lol.......lol.......lol....lol

Good ina maana umeelewa....:cheer2::cheer2::cheer2:
 
Natafuta mchumba wa kuolewa/kuoa – jamani hii title imeanza kupunguza uzito wake hapa love connect…. Hili ni jamvi la love connect but inaonekan sasa kama vile linakua la people connect… Wanaosaka wapenzi wanatangaza kama vile wanatafuta product…Jamani kwa wale ambao wako serious kutafuta wachumba awe wakike au wa kiume walau basi kuweni serious na post mnazotuma kuonesha ni kweli unahitaji huyo mtu…


Tips kabla hujatuma


  • Eleza sifa zako za nje na ndani zikihusisha vitu kama umri, umbo, dini, upendavyo (walau hints), kazi na hata uraia naona pia unamata.
  • Hakikisha hizo sifa ulizotaja za unae muhitaji na wewe pia umeainisha zako.
  • Kama yupo JF pleeeeeeeeease m-PM mana hamna haja ya kutupa wote faida otherwise kama mnatualika harusi…
  • Toa contacts walau e-mail address mana CM utakua umepalia makaa..
  • Unapotuma thread onesha basi you mean it maana kama ni utani it is better ikiwa jukwaa la jokes…
Na mengineyo ya muhimu…


Asha D, kama hii?

If your favorite Muppet is Miss Piggy, there is a good chance that we just won't get along. Don't take that the wrong way; she just really annoys me. I guess the woman that I am looking for is somewhere between a thrill-seeker and a couch potato. She isn't afraid to scale a rock face with me, won't get aggravated when I lead us 200 miles in the wrong direction, and will laugh when I say something unintentionally stupid. There was a time when I used to volunteer with the community. Somehow I fell out of it because of money so it would be great to meet someone who does volunteer work to help me get back into it (so no money anymore). At the end of the day, I am just hoping to meet a girl who can discuss the world around her, is looking for more than just a date, and will cuddle on the couch and laugh at old Muppet DVDs with me. Will you be my partner in crime? If the answer is yes the PM me and let's get lost together.
 
Dah! acha nilog out nikaanze maandalizi ya CV! Japo mzuka umepungua baada ya Asha D kujiweka pembeni, lakini haijalishi!


Klorokwini tatizo wewe husikia na kuamini unayotaka akili yako ikubali ndo unakuta hivi sasa nafikiri ungekua unazingatia ungejua toka mda kua nipo pembeni.... ULALE unono....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom