- Thread starter
- #41
AmenGood luck
AmenGood luck
hahaha poleeeepunguza punguza basi umri na elimu yaana ukipunguza kidogo tu umepata!
hahaha umeniacha hoiAisee dada una bahati sawa na kuokota nyumba.
Ngoja nije private kabisa maana fursa haziji mara mbili jamani Mungu anipe nini
hahahahaha kanda ya kaskazinKwa vgezo hvyo umenpata,
Ila sasa ww ni mzaliwa wa mkoa gan?
Maana usije ukawa dadangu,
Naogopa kukufuata pm
Nipemmmh picha hapana ntakupa private rafiki
hahaha nimesoma bila mkopo brotherUnadaiwa loan Board?
Hapo sawa niliogopa tusije kudaiwa zaidi ya Mil. 20hahaha nimesoma bila mkopo brother
Kik Ili? kwani ninakujua hadi nitafute kiki wastaarabu wapo kimya au lazima kucomentHaya maajabu uchumba mpaka elimu kunakusolve magazijuto huko? Me vigezo vyako ninavyo BT je wewe vigezo vyangu unavyo? Au ndio unatafuta kick
asantePole sana..
We nambaNi Msichana mwenye umri wa miaka 28, mkristo, Elimu ya chuo nahitaji rafiki ambaye kama itampendeza Mungu awe mchumba kisha mme hadi kifo kitutenganishe awe Mkristo, kabila lolote awe mcha Mungu, Elimu ya chuo umri miaka 30 hadi 40
Aliye tayari anipm tutazungumza vingi
Natangulisha shukrani zangu za dhati
N.B
SITANII NINA MAANISHA GUYS SITOPENDA DHIHAKA NAIMANI HII PIA NJIA SAHIHI NILIYOITUMIA NITALETA MREJESHO NIKIFANIKIWA NA KADI YA MWALIKO JUU