Natafuta Mchumba/Mme

Natafuta Mchumba/Mme

Ladies jueni kua binadamu wa miaka 30/ 40 huyo hawezi kua single unless ni mjane, single father au ni mzee kijana.
Kama si chochote kati ya nilivyoainisha hapo huyo jamaa ni mume wa mtu na anataka kukuzingua.

Haya andika kuanzia miaka 25 nije pm.
SIO KWELI
 
Ni Msichana mwenye umri wa miaka 28, mkristo, Elimu ya chuo nahitaji rafiki ambaye kama itampendeza Mungu awe mchumba kisha mme hadi kifo kitutenganishe awe Mkristo, kabila lolote awe mcha Mungu, Elimu ya chuo umri miaka 30 hadi 40
Aliye tayari anipm tutazungumza vingi
Natangulisha shukrani zangu za dhati

N.B
SITANII NINA MAANISHA GUYS SITOPENDA DHIHAKA NAIMANI HII PIA NJIA SAHIHI NILIYOITUMIA NITALETA MREJESHO NIKIFANIKIWA NA KADI YA MWALIKO JUU
Mimi nina miaka 46 mrembo na niko single, vipi sifai kukufuata PM??

Nina kila sifa anayotaka mwanamke mzuri kama wewe, nijibu tafadhali nikutembelee huko PM.
 
Kik Ili? kwani ninakujua hadi nitafute kiki wastaarabu wapo kimya au lazima kucoment
Bado mbichi, hilo sharti la umri rekebisha
Ili ni apply. Kwa sasa nasomesha watoto mama yao alisepa kitambo yuko kwa mheshimiwa
 
Ni Msichana mwenye umri wa miaka 28, mkristo, Elimu ya chuo nahitaji rafiki ambaye kama itampendeza Mungu awe mchumba kisha mme hadi kifo kitutenganishe awe Mkristo, kabila lolote awe mcha Mungu, Elimu ya chuo umri miaka 30 hadi 40
Aliye tayari anipm tutazungumza vingi
Natangulisha shukrani zangu za dhati

N.B
SITANII NINA MAANISHA GUYS SITOPENDA DHIHAKA NAIMANI HII PIA NJIA SAHIHI NILIYOITUMIA NITALETA MREJESHO NIKIFANIKIWA NA KADI YA MWALIKO JUU
pesa je
 
Ugumu unasababishwa na nini?

Huyo si mtu maarufu?

What's her/his career.
Ni maarufu insta.

Ni member humu tangu 2009.

Humu jf kuna nyuzi mbili zilikua zinamuongelea mchana nzima, haujaziona.

Career yake ni blogger.

Kama sehemu zote hizo haujamuona hapo nashindwa nikuelekezeje.
 
Ni maarufu insta.

Ni member humu tangu 2009.

Humu jf kuna nyuzi mbili zilikua zinamuongelea mchana nzima, haujaziona.

Career yake ni blogger.

Kama sehemu zote hizo haujamuona hapo nashindwa nikuelekezeje.
Sawa mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom