Natafuta Mchumba/Mme

Natafuta Mchumba/Mme

Mmenikumbusha ishu ya yule Dada pilot natamani anipe mrejesho mnaendeleaje? Alitafuta mchumba humu akazinguliwa baadae ya kujua ni pilot wakaanza kumtamani tena.
 
Ladies jueni kua binadamu wa miaka 30/ 40 huyo hawezi kua single unless ni mjane, single father au ni mzee kijana.
Kama si chochote kati ya nilivyoainisha hapo huyo jamaa ni mume wa mtu na anataka kukuzingua.

Haya andika kuanzia miaka 25 nije pm.
Wapo
 
Mmenikumbusha ishu ya yule Dada pilot natamani anipe mrejesho mnaendeleaje? Alitafuta mchumba humu akazinguliwa baadae ya kujua ni pilot wakaanza kumtamani tena.
usiwashtue wajuao wadada wa humu wote ni goal diggers
 
Mm nawashauei tu wanaotafta wachumba humu uwe unaitaji familia ya maana yenye malezi stahiki sio kuitaji mtu kwa vigezo vigi hasa mali,, ndoa kwanza mambo ya ana nn,wengine tunaogopa kuwa pm kwa kuwa kitu cha msingi hatukioni,mtu kama anataka ndoa basi mambo ya magari ya nn wakati hayo ni mambo ya kutafta tu, lkn tuwe makini tukumbuke hii niitandao tu usiwe mwepesi kujipeleka peleka. Mm nili pm mtu hapa niko vzr tu kimaisha niko na nyumba yangu na asset zingine na usafir lkn cha ajabu ni noma niliyoyakuta nikasema humu sio saiz natafta live live mtaan kwetu
 
au.jpg
unaishi wapi???
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom