Natafuta Mchumba aliyeokoka (Mwanamke)...

Natafuta Mchumba aliyeokoka (Mwanamke)...

Kuokoka ni kuwa vipi mkuu???? Tafadhali nielekeze
hata mimi hapa huwa pananitatiza sana je ni kuokoka , kujiokoa ama kumuabudu yesu na kuwapenda wenzako au kufuata amri kumi za mungu au ni kupiga kelele kanisani na nyumbani i dont know
 
jamani ata JF tupo walokole mimi apa nipo mkaka na jmpli iliyopita niliombewa nipate mchmba najua Mungu amenijibu maombi yangu
 
jamani ata JF tupo walokole mimi apa nipo mkaka na jmpli iliyopita niliombewa nipate mchmba najua Mungu amenijibu maombi yangu
Hahahaah! M-pm mmalizane huko, thread closed...
 
Umewakosa wanakwaya? huku utadanganywa, utakutana na watu wanakula koni halafu utoke baruti useme umekuta na mashetani.

Ha haaa,nimecheka....kwani aliyekwambia walokole hatufanyi kwa waume zetu nani?
 
Kwi kwi kwi!! Hivi kweli wapo wengi hivyo wanaoing'ang'ania ID ya ya SHE... Naamini darasa zuri halijaletwa hapa kuwafanya wana JF wengi wajiondoe kwa SHE.. na kujiunga kwa MU... .Anywa naambia BONKEY anakuja muda si mrefu hapa Dar kufanya Crusade kubwa ya kuwaaga watanzania (anajiandaa kuretire kabisa) nadhani wana JF wengi tutahudhuria.Kwa rafiki yangu anayetafuta mchumba hapa JF naamini kapotea kidogo.Kama atapata mawasiliano yeyote kama anavyotarajia BASI asitarajie nguo mpya toka dukani BALI iliyofuliwa sana i.e mtumba (Naomba radhi kama nitawakwaza watu).Ahsante
 
Za leo watu wa MUNGU,natafuta Mwanamke aliyeokoka na anayependa kufanya kazi ya MUNGU,Kwa moyo mkuu,awe na umri wa miaka 24-26.....0773 842 849

Prince,ucjali walokole tupo wengi 2 humu.....ila hyo kazi ya mungu ndio ipi?fafanua
 
Unatafuta ambaye ameokoka. Wewe kuokoka kwako hakuna maana mwanamke wa aina gani utakayempata kwenye jamii forum? Kumbuka mke ni msaidi kwako, kwa ujinga huu wa kujitangaza humu ina onekana maeneo unayoisha wote umewachakaza sasa huo ni uzinzi acha kuzaririsha ulokole wa watu.
 
mwanamke aliyeokoka? nenda kwenye madhabau ya kanisa la kakobe,lwakare, mzee wa upako na n.k utawaona weng wakitoa ushuhuda, nawe kachague yule unayemuitaj , kama wanavyofanyaga wenzako mafatak kwenye shindano la umiss !
 
Tatizo ni definition ya kuokoka. Utawezaje kuwa umeokoka while still living! I dont think u r damn serious running after women n cal yaself umeokoka.
 
Za leo watu wa MUNGU,natafuta Mwanamke aliyeokoka na anayependa kufanya kazi ya MUNGU,Kwa moyo mkuu,awe na umri wa miaka 24-26.....0773 842 849

Dah... umri tu ndo umeniangusha. Hivi hii 30+yrs ntapata kweli????
 
hata mimi hapa huwa pananitatiza sana je ni kuokoka , kujiokoa ama kumuabudu yesu na kuwapenda wenzako au kufuata amri kumi za mungu au ni kupiga kelele kanisani na nyumbani i dont know

Ndio maana hata hajanijibu. Naamini hata yeye haelewi maana, si unajua tunaaminishwa na kutishwa ili tuwaabudu na kuwatukuza wachungaji na tunamsahau anayestahili kupewa sifa na utukufu. Nilishawahi kukutana na mmoja anajisifia eti mchungaji wao amebadilisha gari sasa ana la tsh Mil 200 na amejenga nyumba ya tsh Mil 400, nikamuuliza hivi vyote vinawaafaaje kwa utukufu wa mungu? Ghafla akaanza jazba, nikagundua siko sehemu sahihi.
 
Za leo watu wa MUNGU,natafuta Mwanamke aliyeokoka na anayependa kufanya kazi ya MUNGU,Kwa moyo mkuu,awe na umri wa miaka 24-26.....0773 842 849

unatafuta kumpa kazi au ndoa au ku date nae? fafanua mlokole...
jee awe bikra ? jee aliye vunja mari ya 6 ?
fafanua
 
Za leo watu wa MUNGU,natafuta Mwanamke aliyeokoka na anayependa kufanya kazi ya MUNGU,Kwa moyo mkuu,awe na umri wa miaka 24-26.....0773 842 849

Mkuu ukitaka hivyo uanze kuzurura makanisani ukachague mwenyewe rangi gani unahitaji na size kabisa. Hapa kila mtu atakwambia kaokoka.
Luku vere

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom