Natafuta Mchumba aliyeokoka (Mwanamke)...

Natafuta Mchumba aliyeokoka (Mwanamke)...

Mchumba hapatikani humu acha ujinga na kama una udomo zege mwonyeshe umpendae kwa mwenzako akakutongozee na siyo kuja humu utakuja kujuta bure!
 
Kwanza hakuna binadamu alieokoka kwa maana wote wana dhambi na ukisema huna dhambi ina maana wewe si wa kristo kwa maana kristo aliwafia wenye dhambi tu na si watakatifu kama wewe.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom