The secretary
JF-Expert Member
- Jan 14, 2012
- 4,148
- 2,540
Mansakankanmusa kwa masharti yako hayo yasiyo na utu utaishia kuoa kuku badala ya mke
Mimi ni msichana natafuta mchumba aliye na uhakika wa kunioa, sipendi uongo awe mpole mwelevu, mkristo na anipende kwa dhat, ninamiaka 23, mwenye hakika na hili anitafute0786730005
Mimi ni msichana natafuta mchumba aliye na uhakika wa kunioa, sipendi uongo awe mpole mwelevu, mkristo na anipende kwa dhat, ninamiaka 23, mwenye hakika na hili anitafute0786730005
Wewe huo umiri wako bado mdogo sana. Kazania elimu kwanza. Hakuna waoaji siku hizi. Watakuletea majeraha bure.
Ndoa si juu ya binaadamu kuamua. Haiko kabisa kwenye uwezo wetu. Ni Mungu tu ajuae. Wewe tafuta wa kufanya naye maombi ya ndoa tu. Utanikumbuka
Wasifu wako?unaishi wapi?unajishughulisha na nini? Muonekano wako?
weka picha yako mama si unajua hapa reception nayo muhimu kuijua. Ila kumbuka mume wa dhati hapatikani kwa njia hii bali hujileta mwenyewe.
Angalia ndoa za siku hizi a.k.a bigijii zinavyovunjika
Mungu anipe nini tena mke mwema huyu hapa kajileta mwenyewe, asante mungu naomba uendelee kutuletea wengine tele kama ulivyomleta huyu hapa Jf,amenMimi ni msichana natafuta mchumba aliye na uhakika wa kunioa, sipendi uongo awe mpole mwelevu, mkristo na anipende kwa dhat, ninamiaka 23, mwenye hakika na hili anitafute0786730005
ucjfanye we ndo unajua kushauri
hahahahah mgonjwa huyu....amuumbe wa kwake afu amtumie hivo ka mdoli....
Mansakankanmusa kwa masharti yako hayo yasiyo na utu utaishia kuoa kuku badala ya mke
Yaani wewe Janerose umejiunga leo hapa JF na una miaka 23 na unataka mchumba wa kukuoa,are you serious???? Kirahis rahis tu hivyo???? Subiri watakuja wengi tu hapa!!!!!!
Unafahamu kitu kinaitwa multiple Id's? Huyuwewe kweli ni mwehu unajiunga leo na kuanza kutafuta mchumba.Fikiria zaidi na utulie.Post yako tu ya kwanza natafuta mchumba!!!!!!!!