Natafuta mchumba aliye tayari kunioa

Natafuta mchumba aliye tayari kunioa

Mimi ni msichana natafuta mchumba aliye na uhakika wa kunioa, sipendi uongo awe mpole mwelevu, mkristo na anipende kwa dhat, ninamiaka 23, mwenye hakika na hili anitafute0786730005


Namba yenyewe ulioweka haipatika, unafanya masihala na ndoa?
 
Dada funguka...uko uko je..maana,waoaji sikuhizi kuna specification zetu...
Wajua kushika jembe...
Kuchanja kuni..
Na majani je..
Pale home tupo extended family ...
Utaweza nikuacha na wakwe...na yule mdogo angu wa kike aliyeachika...

Ukiweza haya ni PM
 
Uzi una miaka 2 leo ndio watu wanauona,huyo Dada alishaolewa nadhani tayari ana watoto sasa
 
Mimi ni msichana natafuta mchumba aliye na uhakika wa kunioa, sipendi uongo awe mpole mwelevu, mkristo na anipende kwa dhat, ninamiaka 23, mwenye hakika na hili anitafute0786730005
uhakika si mpaka akuone kwanza na mjuane na mfaamiane....ila ww unaonekana unataka ndoa na sio mchumba kila laheri
 
Weka pic 2pime kabang!

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
naona hata kujibu hawezi vjana wamujini washa muweka ndani huyu kuku mgeni
 
si mbaya kutafut mchumba katika umri huo. Cha msingi anatakiwa afikirie mara mbli kweli ameamua na umri huo amemaliza shule au chuo au hakusoma, kumbuka kusoma si kitu katika suala zima la mapenzi kikubwa ni maelewano kuhusu sifa zake mnaweza kujuana kama mtawasiliana nae kupitia cm au njia yoyote mnayojua ninyi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom