Natafuta mchumba aliye tayari kunioa

Natafuta mchumba aliye tayari kunioa

Mchumba wa kumuoa! Unafanya kazi gani au bd wasoma? Unaishi wapi? Uzito? Urefu? Rangi yako? Kabila lako? Ukijibu hayo utawasaidia wengi wny nia.
 
Mchumba wa kumuoa! Unafanya kazi gani au bd wasoma? Unaishi wapi? Uzito? Urefu? Rangi yako? Kabila lako? Ukijibu hayo utawasaidia wengi wny nia.

Jamani siku hizi gharama za kupiga cm zimeshuka, namba hiyo kaweka si umpigie umuulize?
 
huyu kwa kuwa kajiunga leo atakuwa hajui ku PM NDO NINI.

anatupotezea muda huyu,jf siku inashuka thamani yaani watu wameona humu kama facebook ni utani tu,mtu anajiunga leo na kuanza kutafuta wachumba,ngoja watu wa jf wamrushie madongo ili ashike adabu yake,sisi wenyewe wakongwe lkn tunapo anzisha thread tunakuwa makini kukwepa madongo ya humu
 
Mimi ni msichana natafuta mchumba aliye na uhakika wa kunioa, sipendi uongo awe mpole mwelevu, mkristo na anipende kwa dhat, ninamiaka 23, mwenye hakika na hili anitafute0786730005

Mtoto mdogo umeshakuwa desperate kiasi unajinadi?

Mtu ambaye hajawahi kukuona wala kufikiria unafananaje na una ubovu gani zaidi ya huu wa kutafuta mume mtandaoni unategemeaje awe na uhakika?

Watoto wa kike kuweni na staha. Mwanamke mwenye staha na malezi anaweza kumuingiza king mwanaume wa maana kwa tabia na bashasha lakini wewe unayeomba subiri mziki wako ndio utapata akili
 
Mimi ni msichana natafuta mchumba aliye na uhakika wa kunioa, sipendi uongo awe mpole mwelevu, mkristo na anipende kwa dhat, ninamiaka 23, mwenye hakika na hili anitafute0786730005

na wewe ni mtumwa wa dini? subiri watumwa wenzio waku-keep company!
 
Weye tayari una mume weye......... Unaemtafuta alipotea tu atarudi kuwa na subira...
 
Mimi ni msichana natafuta mchumba aliye na uhakika wa kunioa, sipendi uongo awe mpole mwelevu, mkristo na anipende kwa dhat, ninamiaka 23, mwenye hakika na hili anitafute0786730005

Mbona namba yako haipatikani au inapatikana wakati gani?
 
Goodluck!! but mke OR mume mwema anatoka kwa Mungu!! hatoki facebook, BBM wala JF!!
 
Tatizo siyo kupata mchumba...tatizo ni kama anauzika yaani in all wise...spiritually, physically etc
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom