Gien Banks
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 336
- 891
Shallom / A.Salaam Aleykum
Husika na Kichwa Cha Habari Hapo Juu.
Nimekua interested na teknolojia ya ujenzi wa kitumia interlocking bricks kwani seems ina faida nyingi kuliko tofali za kawaida
1. Huokoa gharama za ujenzi i.e. Cement / Mchanga / Finishing.
2. Sehem yenye kupata material za ujenzi unaweza fyatua tofali mwenyewe ukauza kwa wengine au hata kutumia mwenyewe..nk
3. Fitting of Wires and Plumbing ni Rahisi. Na hata plastering si lazima kwenye kuta za nyumba.
Naombeni kujuzwa pa kuzipata hizi mashine...na bei zake. Wengi wao wanaouza mitandaoni janja janja nyingi + hawako straight.
Ushauri / Maoni / Maelekezo Ni Mbolea Sana Kwenye Hii Topic. Karibuni Tujadili Wakuu.
Natanguliza Shukrani Nyingi Kwenu.
Thanks
Husika na Kichwa Cha Habari Hapo Juu.
Nimekua interested na teknolojia ya ujenzi wa kitumia interlocking bricks kwani seems ina faida nyingi kuliko tofali za kawaida
1. Huokoa gharama za ujenzi i.e. Cement / Mchanga / Finishing.
2. Sehem yenye kupata material za ujenzi unaweza fyatua tofali mwenyewe ukauza kwa wengine au hata kutumia mwenyewe..nk
3. Fitting of Wires and Plumbing ni Rahisi. Na hata plastering si lazima kwenye kuta za nyumba.
Naombeni kujuzwa pa kuzipata hizi mashine...na bei zake. Wengi wao wanaouza mitandaoni janja janja nyingi + hawako straight.
Ushauri / Maoni / Maelekezo Ni Mbolea Sana Kwenye Hii Topic. Karibuni Tujadili Wakuu.
Natanguliza Shukrani Nyingi Kwenu.
Thanks



