NATAFUTA MASHAMBA YA MPUNGA

CHE GUEVARA-II

JF-Expert Member
Jun 17, 2010
571
156
Wadau, habari zenu?
Naomba msaada wenu.

Ni wapi naweza kupata maeneo ya kukodi mashamba ya mpunga wanapolima kwa umwagiliaji?
Nataka nipate sehemu ili niwe nalima mara mbili kwa mwaka.

Au ni wapi ninaweza kupata mashamba ya kununua wanapopata sana mpunga?

Na gharama zake zikoje?
 
Mkuu mashamba mazur ya umwagiliaji yapo mbalali sehem inaitwa kapunga rice estate huko unapata mashamba ya umwagiliaji vizur ila gharama zake za kukodi zipo juu
 
Mkuu mashamba mazur ya umwagiliaji yapo mbalali sehem inaitwa kapunga rice estate huko unapata mashamba ya umwagiliaji vizur ila gharama zake za kukodi zipo juu

Big Dy, asante sana!
Gharama zake zikoje?
Na mavuno yakoje?
Nimwone nani? Contacts?
 
Kwa msimu uliopita ilikua 3.5m kwa plot yenye 15accre contact wana office Harbour view jaribu ku Google
 
Kwa msimu uliopita ilikua 3.5m kwa plot yenye 15accre contact wana office Harbour view jaribu ku Google

Asante sana Big Dy.

Nime-google nikapata kitu hiki:

Sunil Tayil - Kapunga Rice Project Council Member
P.O. Box 10295 Dar-es-Salaam Tanzania,
9th floor Harbour View,
Project Director
Tel: 0787 570221 Email: sunil-tayil@yahoo.com Member

Source:
ricecounciltanzania.weebly.com/council-members.html


Nimemtumia email, nasubiri response.
 
Vizur mkuu ila kama una mda pia ni vizur kwenda kutembelea mashamba yenyewe huko ni sehem nzur sana na ulimaji wake ni guarantee profit
 
Mkuu CHE GUEVARA-II wasiliana na huyu mdau mhimu ipyax aliyepo huko Kapunga Mbarali atakupa taarifa in details kuhusu kukodi na gharama kwa ujumla kwa kila ekari.
Bila shaka hadi mwakani pengine tutakuwa pamoja kule ikiwa umedhamilia kujikita kwenye kilimo cha mpunga.
 
Wadau, habari zenu?
Naomba msaada wenu.

Ni wapi naweza kupata maeneo ya kukodi mashamba ya mpunga wanapolima kwa umwagiliaji?
Nataka nipate sehemu ili niwe nalima mara mbili kwa mwaka.

Au ni wapi ninaweza kupata mashamba ya kununua wanapopata sana mpunga?

Na gharama zake zikoje?
mkuuu vp ulifanikiwa
 
Back
Top Bottom