Natafuta marafiki Dar jamani

Natafuta marafiki Dar jamani

Ila anaakili sana, titi dodo, chura ya wastani....
Mimi nilimtongoza bhana bhana akakubali, kesho yake katika kupiga story za hapa na pale kaanza kulia nikamuuliza shida nn hakunijibu nikamtoa hela nikatembea coz nilihisi uwepo wangu unamfanya alie, sikuonekana siku mbili, baadae nikamtafuta story tena zikaanza akaanza kulia ndio nikambana aisee akafunguka akasema waliitwa mkutano wa kijiji yeye na mama ake akaambiwa aondoke yeye au aondoke yeye na mama ake au achague kifo, akasema mimi naondoka namuacha mama kwasababu bado anawatoto wadogo (wadogo wa huyu binti/mshikaji) basi bhana alivyomaliza kaongeza volume ya kulia hapo tupo stend ikabidi nianze kumnyamazisha. Hata ukimwambia twende sehemu tukae hataki anajua atafanyiwa kitu kibaya.
WAZAZI WAKE HAWAJUI YUKO WAPI NA YEYE HANA SIMU NA AMEAMBIWA ASIONEKANE HUKO KIJIJINI KWAO.
Aiseeee[emoji848]
 
Ila anaakili sana, titi dodo, chura ya wastani....
Mimi nilimtongoza bhana bhana akakubali, kesho yake katika kupiga story za hapa na pale kaanza kulia nikamuuliza shida nn hakunijibu nikamtoa hela nikatembea coz nilihisi uwepo wangu unamfanya alie, sikuonekana siku mbili, baadae nikamtafuta story tena zikaanza akaanza kulia ndio nikambana aisee akafunguka akasema waliitwa mkutano wa kijiji yeye na mama ake akaambiwa aondoke yeye au aondoke yeye na mama ake au achague kifo, akasema mimi naondoka namuacha mama kwasababu bado anawatoto wadogo (wadogo wa huyu binti/mshikaji) basi bhana alivyomaliza kaongeza volume ya kulia hapo tupo stend ikabidi nianze kumnyamazisha. Hata ukimwambia twende sehemu tukae hataki anajua atafanyiwa kitu kibaya.
WAZAZI WAKE HAWAJUI YUKO WAPI NA YEYE HANA SIMU NA AMEAMBIWA ASIONEKANE HUKO KIJIJINI KWAO.
Waafrika tuna akili za ajabu sana. Kosa lake ni lipi hasa, kuzaliwa alivyo au ??....

Kuna watu wanapitia mazito sana kwa mentality kama hizi. Mtu akijiua tunasema ni mapenzi ya Mungu. I can feel maumivu yake
 
Hellow pple nahitaji rafiki nipo dsm
Napenda marafiki sana nipo bored and alone kinoma

Awe dar

Note: Refer my threads ili uelewe ni vyema kumjua mtu kabla hajawa rafiki yako ili muweze kumaintain urafiki na undugu wenu
Pm me

Vigezo na masharti kuzingatia

Sent using Jamii Forums mobile app
Me ningependa sana sema ndio Niko koromije
 
Sehemu nzuri ya kupata marafiki, download mtandao wa Tagged, andika wewe ni bisexual ili uletewe marafiki wa kike na wa kiume,

Note; ile ni dating site lakini unaweza kuifanya sehemu ya kutafutia marafiki.
Hapana
 
Back
Top Bottom