Msaka_uchawi
Senior Member
- Feb 16, 2017
- 104
- 213
Mimi ni mwekezaji mwenye nia hasa ,ya kutaka kuekeza karoho kangu ,mahali ambapo katakuwa safe ,ili kujinusuru na rabsha rabsha za jiji hili la daslamu na milio mingi ya risasi inayorindima kila kukicha...
Nia na makusudi kuwekeza karoho na wala sio pesa zangu ,pesa zangu ntatafuta pakuziwekeza ...
Nia na makusudi kuwekeza karoho na wala sio pesa zangu ,pesa zangu ntatafuta pakuziwekeza ...