Natafuta loan kama 5m

unasema uko na gari. Gari is just liability. Kwanini usiuze hiyo gari yako uwe na amani na pesa zako. OR huo muda unaopoteza kwa kusubiri wadau waku PM go to the bank and na ukijibiwa na hao unaowa kuPM compare masharti then at the end of the day nenda na mwenye masharti nafuu. Nakushangaa sana unataka kukopa pesa kwa mtu binafsi je ukisha kopa alafu after a few days akifa siutakua umepoteza mali yako? Bcoz kama unataka 5m lazima mali unayoweka rehani value yake should be more than what you need. Chunga sana.
Nimekusoma mkuu thanks
 
Back
Top Bottom