Natafuta LENOVO laptop

Natafuta LENOVO laptop

Mkuu jinsi ya kuziangalia ukiwa dukani huwezi tuwekea screen shot mkuu?
ukienda my computer halafu uka right click then chagua properties itakuja page kukuonesha aina ya processor na ram

systemproperties.jpg


sema si wauzaji wote wanakuruhusu kuwasha laptop.

ni muhimu sana kujua aina ya processor sababu kusema tu i3/i5/i7/celeron/pentium haitoshi, inaweza kuwa i7 na ikawa mbaya vile vile.
 
kwa laki 7 hapo tafuta tu laptop ya i3 ambayo processor yake inaishiwa na M kwa mbele n Iwe ni 4th generation ili upate gpu nzuri. cpu za hio family ni
-i3 4000M
-i3 4100M
-i3 4110M
ila itabidi utafute sanaa, huko mtaani ni adimu sababu wafanyabiashara wetu hawajielewi wengi wanaleta laptop zenye cpu zinazoishiwa na U

kama utakosa hizo laptop ya i3 inayoishiwa na U ambayo inaweza kushindana na hizo processor hapo juu ni ya i3 6100U hizi utaweza kuzipata kirahisi kwenye maduka sababu ndio wakati wake huu.

pia angalia hii laptop inauzwa 550,000 ni used ila ni vyema Ukaiangalie kama processor yake ni i5 4200m itacheza GTA v kwenye low setting

Lenovo ThinkPad T44Op Dar es Salaam 620961 | Kupatana
Mkuu kati ya processor inayoishia na M au U ni ipi nzuri zaidi? Fafanua kidogo please!
 
Hivi chief kwa mfano naenda dukani kununua laptop,nakuta laptop ambayo hawajainstall window..specification zimeandikwa kwenye kikaratasi tu halafu zimebandikwa juu ya laptop..Sasaa ntawezaje kuhakikisha izo specification kamani za kweli? namaanisha nataka niiwashe halafu niangalie specification...ebu nisadie hapo maana nashindwaga kuangalia specification kwenye laptop amabyo haina window
kwenye bios zipo pia specification ukiwasha utaambiwa click F2 kuingia bios setting (inaweza kuwa F3, F4 nk soma chini wanaandika) ukishaingia kwenye bios utakuta kuna sehemu zimeandikwa inatofautiana kutokana na manufacture

asus%20w5f%20-%20bios%20main.jpg
 
Mkuu kati ya processor inayoishia na M au U ni ipi nzuri zaidi? Fafanua kidogo please!
zote ni nzuri na kila moja ina matumizi yake binafsi

-zinazoishiwa na M zinakula umeme mwingi mara nyingi watts 35 lakini perfomance yake inakuwa kubwa
-zinazoishiwa na U zinakula umeme kidogo mara nyingi watts 15 ila perfomance inakuwa ndogo

ila hizo zinazoishiwa na M hazitengenezwi tena toka mwaka 2013, hivyo U za kisasa za mwaka 2016 zinaweza kuwa na nguvu sawa na za 2013 huku zikitumia umeme kidogo. sasa hivi kuna processor zinazoishiwa na H hizi ndio zimereplace za M

sasa hapo itategemea na matumizi kuna watu wao matumizi yao ni internet, kuangalia movie, game kidogo, youtube, kusoma nk hawa laptop za U zitawafaa sababu zinakaa na chaji na matumizi yao hayahitaji nguvu nyingi.

ila wengine wao wanahitaji kucheza games sana, kuedit 3d, video editing, sijui AUTO CAD na mambo mengine makubwa makubwa wao watahitaji hizi za M (sasa hivi H)
 
zote ni nzuri na kila moja ina matumizi yake binafsi

-zinazoishiwa na M zinakula umeme mwingi mara nyingi watts 35 lakini perfomance yake inakuwa kubwa
-zinazoishiwa na U zinakula umeme kidogo mara nyingi watts 15 ila perfomance inakuwa ndogo

ila hizo zinazoishiwa na M hazitengenezwi tena toka mwaka 2013, hivyo U za kisasa za mwaka 2016 zinaweza kuwa na nguvu sawa na za 2013 huku zikitumia umeme kidogo. sasa hivi kuna processor zinazoishiwa na H hizi ndio zimereplace za M

sasa hapo itategemea na matumizi kuna watu wao matumizi yao ni internet, kuangalia movie, game kidogo, youtube, kusoma nk hawa laptop za U zitawafaa sababu zinakaa na chaji na matumizi yao hayahitaji nguvu nyingi.

ila wengine wao wanahitaji kucheza games sana, kuedit 3d, video editing, sijui AUTO CAD na mambo mengine makubwa makubwa wao watahitaji hizi za M (sasa hivi H)
Asante sana mkuu! Na kuna tofauti gani kati ya processor za celeron na pentium katika perfomance? Na je zipo aina nyingine ya processor ukitoa hizo mbili? Kuna aina gani ya celeron processor na pentium processor?
 
Lenovo ngumu kupatikana hasa hiyo yenye uwezo wa kucheza gta V.
Jaribu kupitisha macho kwanye matoleo haya Dell Latitude E6420, E6440
HP Probook 4530s, 4520s
ThinkPad T420
Kama utaipenda yeyote kati ya hizo nitafute PM mkuu
 
so tunaafikiana utachukua ya i3 6100u? hapa kuna option mbili kubwa za bei rahisi ideapad 500 na ideapad 300 ni za lenovo hizi ila still sijaridhika nazo nipe muda kuna vitu nikuangalizie halafu nitakujibu kama zitafaa, ukiona kimya sana nikumbushe
Mkuu laptop yangu nikifungua game la fifa 15 inaniambia d3dx9-34.dll is missing nifanyaje
 
so tunaafikiana utachukua ya i3 6100u? hapa kuna option mbili kubwa za bei rahisi ideapad 500 na ideapad 300 ni za lenovo hizi ila still sijaridhika nazo nipe muda kuna vitu nikuangalizie halafu nitakujibu kama zitafaa, ukiona kimya sana nikumbushe

Poa Nitafanya hivyo nakusubiri wewe niingie dukani.
 
so tunaafikiana utachukua ya i3 6100u? hapa kuna option mbili kubwa za bei rahisi ideapad 500 na ideapad 300 ni za lenovo hizi ila still sijaridhika nazo nipe muda kuna vitu nikuangalizie halafu nitakujibu kama zitafaa, ukiona kimya sana nikumbushe

Umefikia wapi Bruh nikachukue Lenovo Laptop Ipi?
 
Umefikia wapi Bruh nikachukue Lenovo Laptop Ipi?
hizo ideapad 300 na 500 zenye i3 6100u ndio zinafit budget ila ujue ideapad sio thinkpad hivyo itakuwa tu laptop ya kawaida usitegemee kupata keyboard, display au touchpad nzuri kama thinkpad.

pia utahitaji
-ram slot zote mbili kutake advantage ya dual chanell ili kuboost graphics za laptop. slot moja unaekewa slot nyengine itabidi ununue.
-ram iwe 6gb kupanda
 
  • Thanks
Reactions: Lee
hizo ideapad 300 na 500 zenye i3 6100u ndio zinafit budget ila ujue ideapad sio thinkpad hivyo itakuwa tu laptop ya kawaida usitegemee kupata keyboard, display au touchpad nzuri kama thinkpad.

pia utahitaji
-ram slot zote mbili kutake advantage ya dual chanell ili kuboost graphics za laptop. slot moja unaekewa slot nyengine itabidi ununue.
-ram iwe 6gb kupanda

Nitachukua ThinkPad nichukue version ipi nipe details maana hiyo hata YouTube nimeitamani?
 
Kwani buyer location yako upo pande zipi, muwe mnaweka matangazo na full details sio nusu nusu, taja eneo ulipo, bajeti na ukubwa yani specifications za PC
 
thinkpad yoyote ambayo namba ya katikati ni 6 itakufaa zipo

thinkpad E460
Thinkpad E560
thinkpad x260

hizo 4, 5 na 2 zinamaanisha ukubwa wa kioo ukiona thinkpad imeanziwa na 4 ujue ukubwa wa kioo ni inch 14, ikianziwa na 2 ujue ni inch 12 na ikianziwa na 5 ujue ni inch 15.

namba inayofuatia ya katikati humaanisha generation, hivyo ikiwa ni 6 inamaanisha utapata generation ya 6.
 
thinkpad yoyote ambayo namba ya katikati ni 6 itakufaa zipo

thinkpad E460
Thinkpad E560
thinkpad x260

hizo 4, 5 na 2 zinamaanisha ukubwa wa kioo ukiona thinkpad imeanziwa na 4 ujue ukubwa wa kioo ni inch 14, ikianziwa na 2 ujue ni inch 12 na ikianziwa na 5 ujue ni inch 15.

namba inayofuatia ya katikati humaanisha generation, hivyo ikiwa ni 6 inamaanisha utapata generation ya 6.
Asante Sana bruh, Much thanks for your Help.
 
Back
Top Bottom