Elvicepride
JF-Expert Member
- Apr 8, 2013
- 243
- 65
- Thread starter
- #41
thinkpad yoyote ambayo namba ya katikati ni 6 itakufaa zipo
thinkpad E460
Thinkpad E560
thinkpad x260
hizo 4, 5 na 2 zinamaanisha ukubwa wa kioo ukiona thinkpad imeanziwa na 4 ujue ukubwa wa kioo ni inch 14, ikianziwa na 2 ujue ni inch 12 na ikianziwa na 5 ujue ni inch 15.
namba inayofuatia ya katikati humaanisha generation, hivyo ikiwa ni 6 inamaanisha utapata generation ya 6.
Nimezunguka bila mafanikio, nitaipatia wapi Lenovo Thinkpad E560 hapa Tz?