haina tatzo lolote?nakupa 380
Siuzii matatizo mkuu na laptop yangu haina tatizo lolote, kama huna hio bei sio mbaya mm nina laptop mbili, sasa nataka nibaki na moja tu. Wee endelea kutafuta tu ya bajeti yako ila kwa hio yngu ni fixed price.
Ukipata ya kuongeza namba yngu hio hapo juu, utanipigia tufanye biashara. Usiku mwema.