Namba yako pleaseNakutafuta kama hujauza tuwasiliane
0714309012 yangu hiyo
Namba yako pleaseNakutafuta kama hujauza tuwasiliane
0714309012Nakutafuta kama hujauza tuwasiliane
20 kwa 20 mazingira ni tambalale usafir kutoka barabara kuu ni 500 kwa bajaj na 1000 bodaView attachment 2059484
Sent from my SM-G965U using JamiiForums mobile app
King'azi ni kinyerezi?Njoo kinyerezi king’azi kipo hatua 12 kwa 13 kwa bei hiyo
King'azi ni kinyerezi?
Mwenye connection aniambie jamani, 2022 ni mwaka wa kujenga sasa.
Mwenye connection aniambie jamani, 2022 ni mwaka wa kujenga sasa.
Ndio wap huko kihaba na mm nkachukueKihaba kachukue eneo kubwa
Huku kwengine unabeti


Hapana kwa huko siyo rahisi kupata kwa bei hiyo labda 20*20 napafahamu vizuri sanaNdiyo, unapita serikali ya mtaa na shule ya masister
King'azi ni maeneo gani.Piga simu 0693300971 kipo king’azi shule wilaya ya ubungo
Ukipata na Mimi nistue wa kwetuKing'azi ni maeneo gani.
Nahitaji kiwanja
Bado vipo?Njoo upate kiwanja Tundwi Songani Kigamboni kwa miliono 2 tu. PM kwa mawasiliano