Hii ni tanga au zanzibar?Njoo King’azi kwa banana zoro kipo na nguzo ya umeme na tayari kuna makazi ya watu unapata 20 kwa 18 maji yapo pia piga 0652788410
Weka bei na ukubwa wakeViwanja vipo chanika mjini 0658760120
Inakera sana mtu anataja kitongoji cha ndani ndani huko as if sote tunakijua tayari. Hii tabia naanza kuiona hata katika taarifa ya habari. Unakuta mwandishi anasoma habari akimaliza, utasikia "Kutoka hapa kihonda ni mimi hemedi wa ITV". Kihondo ndio wapi sasa mtu unabakia unaduwaa.Hii ni tanga au zanzibar?
Njoooo nkupe kiwanjaa KibahaaaUkipata na Mimi nistue wa kwetu
Njoooo nkupe kiwanjaa KibahaaaBado vipo?
Njoooo nkupe kiwanjaa KibahaaaKing'azi ni maeneo gani.
Nahitaji kiwanja
Kwa banana zoro ndio wapi huko king'azi?Njoo King’azi kwa banana zoro kipo na nguzo ya umeme na tayari kuna makazi ya watu unapata 20 kwa 18 maji yapo pia piga 0652788410
Pugu kipo robo emaMwenye connection aniambie jamani, 2022 ni mwaka wa kujenga sasa.
Bei yake?Pugu kipo robo ema
Thread was closed20 kwa 20 mazingira ni tambalale usafir kutoka barabara kuu ni 500 kwa bajaj na 1000 bodaView attachment 2059484
Sent from my SM-G965U using JamiiForums mobile app
Nne na SITA milioni nne na laki SITA maongezi yapoBei yake?
Ukubwa wa kiwanja, documents gani ?Nne na SITA milioni nne na laki SITA maongezi yapo
Robo ekaUkubwa wa kiwanja, documents gani ?
Ni pugu mnadaniRobo eka