Natafuta kiwanja cha milioni 4 Dar, nitapata wapi?

Natafuta kiwanja cha milioni 4 Dar, nitapata wapi?

Kinyerezi, Malamba mawili vipo vingi na vizuri.
Njoo nikupe connection na dada mmoja anafanya hizo mambo za kuuza viwanja
0713096076

Vipo tambarare au mlimani/bondeni?
 
Mkuu nina kiwanja Malamba mawili/Kwembe 25m kwa 25m. Milioni 5.5 kama uko serious nitafute njoo PM. Kipo mlimanii upepo wa kumwaga.
 
Njoo kivule (msongola)
Km 6 kutoka nyerere road
Ukubwa 20*20 (sqm 400)
Vipo flat (mchanga wa kujengea unapata hapo hapo)
Bei 4m
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom