warzone
Member
- Jan 13, 2023
- 37
- 80
Habari za humu jf, nina tafuta kijana (akiwa wa kike itakuwa vizuri) kwaajili ya kuuza na kutembeza juisi za matunda maeneo mbalimbali.
Umri: Chini ya miaka 24
Location Dar es Salaam (Kigamboni)
Mshahara: Makubaliano kima cha chini ni 150,000/= kwa mwezi (kwa kama akiweza kuuza angalau dumu 3 kwa siku za lita 3
Kazi yake ni kuchukua juisi na kuuza na kutafuta wateja tuu.
Nauli juu yangu
Karibu PM
Umri: Chini ya miaka 24
Location Dar es Salaam (Kigamboni)
Mshahara: Makubaliano kima cha chini ni 150,000/= kwa mwezi (kwa kama akiweza kuuza angalau dumu 3 kwa siku za lita 3
Kazi yake ni kuchukua juisi na kuuza na kutafuta wateja tuu.
Nauli juu yangu
Karibu PM