Mi nipo Mwanza, ila nina rafikiangu yupo Dar anaujuzi huo ninaimani hatumii JF je, naweza kukuunganisha nae!?Habari,
Natafuta kijana wa kufanya kazi za welding. Kituo kipo tayari kuanza kazi.. Kijana mwenye ujuzi huo au alietoka veta anifuate dm kwa mazungumzo zaidi. Kituo kipo Dar es salaam.
Karibuni kwa yeyote mwenye uhitaji wa kazi.
Asanteni.
Nipatie nambaMi nipo Mwanza, ila nina rafikiangu yupo Dar anaujuzi huo ninaimani hatumii JF je, naweza kukuunganisha nae!?
Nina mtu yupo kigoma, ni experienced kabsaaa amefanya na mpak sasa anafanya Kzi veta day worker kwa sasa ana kama miaka 4 anafanya kazi hiyo..Habari,
Natafuta kijana wa kufanya kazi za welding. Kituo kipo tayari kuanza kazi.. Kijana mwenye ujuzi huo au alietoka veta anifuate dm kwa mazungumzo zaidi. Kituo kipo Dar es salaam.
Karibuni kwa yeyote mwenye uhitaji wa kazi.
Asanteni.