Natafuta kijana wa kufanya kazi za welding

Delc

Member
May 26, 2023
34
49
Habari,

Natafuta kijana wa kufanya kazi za welding. Kituo kipo tayari kuanza kazi.. Kijana mwenye ujuzi huo au alietoka veta anifuate dm kwa mazungumzo zaidi. Kituo kipo Dar es salaam.

Karibuni kwa yeyote mwenye uhitaji wa kazi.

Asanteni.
 
Habari,

Natafuta kijana wa kufanya kazi za welding. Kituo kipo tayari kuanza kazi.. Kijana mwenye ujuzi huo au alietoka veta anifuate dm kwa mazungumzo zaidi. Kituo kipo Dar es salaam.

Karibuni kwa yeyote mwenye uhitaji wa kazi.

Asanteni.
Mi nipo Mwanza, ila nina rafikiangu yupo Dar anaujuzi huo ninaimani hatumii JF je, naweza kukuunganisha nae!?
 
Habari,

Natafuta kijana wa kufanya kazi za welding. Kituo kipo tayari kuanza kazi.. Kijana mwenye ujuzi huo au alietoka veta anifuate dm kwa mazungumzo zaidi. Kituo kipo Dar es salaam.

Karibuni kwa yeyote mwenye uhitaji wa kazi.

Asanteni.
Nina mtu yupo kigoma, ni experienced kabsaaa amefanya na mpak sasa anafanya Kzi veta day worker kwa sasa ana kama miaka 4 anafanya kazi hiyo..
Weldingi, ila amesomea ABR kunyoosha board za magari na cheti anacho..
Kama upo ridhaa apande huko.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom