Lab Technician natafuta kazi

Habari wakuu,

Mimi ni kijana wa kiume niliesoma Diploma ya Laboratory technician kutoka chuo cha DIT napatika Dar-es-salaam, natafuta kazi kwenye shule au viwanda mkoa wa wowote nchini.

Asanteni.
Kuna kampuni wanaitaji lab tech, text whatsap 0699256064..ntakutumia uapply huko, ujaribu bahati yako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom