Jeff
JF-Expert Member
- Sep 26, 2009
- 1,293
- 199
Habarini za asubuhi wandugu, naomba msaada jamani, key board yangu imekufa leo asubuhi baadhi ya herufi hazi function, imetokea bada ya kuisafisha kwa kutumia spray, msaada kama inaweza kupona au wapi naweza kubadilishiwa mpya na kwa bei gani, mashine nina kazi nayo muhimu na ya haraka sana, naomba msaada wenu. mimi niko morogoro, hata dar naweza kuifuata kama itapatikana. asanteni