Matutusgrandchild
Member
- Aug 29, 2014
- 73
- 2
nisaidien jaman npo dar es salaam
unaweza kupka vzr?na unahtaj malipo kwa mwz au cku?
nisaidien jaman npo dar es salaam
kidato cha nne
asante ila cwez kukaa n watoto
Makubwa hayaNahitaji dada wa kulea mume Wangu manake watoto wana dada mwingine. Kama unajua kutandika kitanda, kufua Na kupasi vizuri. Mara zingine uwe unamkata kucha. Nitahie mshahara
mweny kuhtaji dada wa salun ya kiume,dukani,mgahawani,natafuta kazi jaman nsaidieni
haya makubwa hadi mume analelewa..wewe mke kazi yako ni nini sasa!!!Nahitaji dada wa kulea mume Wangu manake watoto wana dada mwingine. Kama unajua kutandika kitanda, kufua Na kupasi vizuri. Mara zingine uwe unamkata kucha. Nitahie mshahara
:llama::llama::llama:
haya makubwa hadi mume analelewa..wewe mke kazi yako ni nini sasa!!!
:llama::llama::llama:
usije uka-recruit huyu hgelo, nimeshamuwahi amlelee paw wangu
Roho mbaya haina posho........... Wacha kwanza nimukaguwe niwone kama atamufwaa.
unataka kumuanzishia paw njia ama vipi? sijakuelewa kabisaa. hakuna ukaguzi, hata mimi nna ujuzi siku hizi wa kukagua.
hehehe wanawake na maendeleo😛layball:😛layball:
NImesema nataka kumkagua. Mambo ya njia yametoka wapi?
Kama unazungumzia njia ya kupita kwa mguu mi sikuelewi labda kama unamaanisha njia ya kupita kwa kichwa.... regardless:A S-eek::A S-eek: