Natafuta kazi

Natafuta kazi

ni PM namba yako ya simu...Ila kama uko serious....Kama unazinguaa usidhubutu......
 
wanajamii forum ninaomba kwa yoyote mwenye nia anisaidie kupata kazi nina elimu ya kidato cha cta na ni mchapa kazi na muaminifu nmeshafanya sehem mbalimbali kama cashier,maduka mbalimbali,saluni na hata migahawani.wanandugu nisaidieni tafadhali kwani yule anaekupa kazi anakuthamini zaidi kuliko anaekupa fedha.
.
 
wanajamii forum ninaomba kwa yoyote mwenye nia anisaidie kupata kazi nina elimu ya kidato cha cta na ni mchapa kazi na muaminifu nmeshafanya sehem mbalimbali kama cashier,maduka mbalimbali,saluni na hata migahawani.wanandugu nisaidieni tafadhali kwani yule anaekupa kazi anakuthamini zaidi kuliko anaekupa fedha. .
Mwanangu usihangaike kutafuta kazi hangaikia kutafuta pesa!
 
Kwanini umefanya kwenye sehemu nyingi bila kukaa kwa muda mrefu?
 
waungwana naombeni mnisaidie npate kazi maisha ni magumu sana
 
kwa yoyote mwnye kuhitaji mdada wa coffee shop kuuza madukn kuhudumia kwny harus n sherehe naomb anitafute
 
Umesomea nini na unataka kazi gan na uko wap?,mpaka hapo uwez pata kazi kwa sababu inaonekana wewe ni mvivu kama unashindwa kujielezea
 
We ndugu mtafuta kazi nadhani una tatizo la kutojitambua mwenyewe. Unapotaka kusaidiwa japo hata kwa mawazo ni lazima ujieleze vizuri wewe ni mtu wa sifa gani, maarifa gani unayo na aina gani ya kazi kwa ujuzi wako ungependa ufanye. Hapo mtu anaweza kufikiria akushauri vipi. Lakini hata siple CV huwezi kujieleza? Kumbuka fursa za ajira ni chache sana na hata zilizopo ni za kugombania. Mimi natafuta mtu mwenye mawazo mazuri ya kujiajiri alete wazo tushauriane hilo wazo lake linaweza kutukomboa vipi katika maisha magumu. Ili kama wazo lina lipa tukakope tutekeleze hilo wazo. Sasa tafakari wewe una wazo gani la namna ya kujikomboa?
 
wanandugu naombeni mnisaidie niweze kupata kazi Nina ekimu ya kidato cha cta nmeshafanya kazi sehemu mbalimbali nisaidieni jaman
 
waungwana maish ni magumu sana kwa hyo naomba tusaidiane ili tuweze kusukuma gurudmu la umaskini anayehitaji Dada kwa ajili ya saluni,madukani,migahani plz naomba mnijulishe tafadhali
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom