Natafuta kazi

Natafuta kazi

jamani waungwana nisaidieni ninauwezo wa kufanya kazi sehemu mbalimbali kama kuuza madukani migahawani na saluni mbalimbali
 
Hyo id yako inaweza ikakupunguzia credit .chizi ni nick name au la ukoo au la ubatzo'
 
picha pia muhimu dadangu kwani kuna kazi unapwa kutokana na mwonekano wa umbo na sura pia, huo ndo ukweli. Ujuzi plus urembo.
 
njoo ukae na mtoto mshahara elfu 30 , chakula mavazi juu yangu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom