usawa wa kulia
JF-Expert Member
- Sep 15, 2014
- 454
- 154
utaombwa papuchi na kazi hutapata
Belvedere Restaurant imetangaza anafasi za kazi kwa MaCashier, Hostesses, na wengine. Tembelea zoom Tanzania page ya 3 utaona..waungwana naomben mnisaidie nipate kazi elimu kdato cha nne nipo dar es salaam umri wangu miaka 21 ninaweza kufnya kazi saluni za kiume,migahawan,vituo vy mafuta,kuuza maduka nk
kwanini sio saluni za kike mi nna saluni ya kike
waungwana naomben mnisaidie nipate kazi elimu kdato cha nne nipo dar es salaam umri wangu miaka 21 ninaweza kufnya kazi saluni za kiume,migahawan,vituo vy mafuta,kuuza maduka nk
Haya dada mrembo nakuombea kheri upate kazi
Nenda chuo kasome
Hakuna kazi siipendi kama kuhudumia mgahawanii au bar duu
Kila mtu enDe chuo tutakosa ma house girl kama wewe
Mwenzako ndio anavyotaka
Belvedere Restaurant imetangaza anafasi za kazi kwa MaCashier, Hostesses, na wengine. Tembelea zoom Tanzania page ya 3 utaona..