Kiwango cha elimu tafadhali.sasa kaka, elezea elimu yako, 4m 4. 6, masters, bachelor, ya nini?????????? hizo ni computer programs kila mtu anazijua
sasa kaka, elezea elimu yako, 4m 4. 6, masters, bachelor, ya nini?????????? hizo ni computer programs kila mtu anazijua
Kiwango cha elimu tafadhali.
elimu ni 4m4 najua kingereza cha kuandika na kusoma
Kama huna kazi kabisa, tafuta baiskeli nzuri then anza uuzaji wa mayai. unachukua tray kwa Tsh 5500 na wewe unaenda unauza 6500. so unapata 1,000 kwa kila tray. kila siku ukiuza trays 50 utakuwa na uwezo wa kupata 50,000. na ukifanya kazi kwa siku 20 kwa mwezi utapata 1,000,000. unaweza kufanya hivyo wakati unatafuta kazi nyingine. aidha utatumia utaalamu wako wa computer kuweka mahesabu sawa ya wateja wako!!
kama hutaki hiyo basi nakushauri angalia kitu kingine kitakachokuingizia hata Tsh 5,000 kwa siku. Usikubali kukaa tu nyumbani (na ukiweza anza kuuza hata ice cream au kuwa basi dalali mwaminifu)
hivi vyuo vingine vipo kibiashara zaid na kupotezea watu muda...pole sana kijanahabar zenu natafuta kazi nimesomea Mircosoft office na Tally je ntapata kazi? Ukitaka kuwasiliana na mm tumia hii email.
Wingman7@vodamail.co.tz
au +255784429215
naunga mkono hoja
naunga mkono hoja
tokeni zenu wote kazi nimeshapata jf haina mpango hao mtabaki kuvnjana nguvu
tokeni zenu wote kazi nimeshapata jf haina mpango hao mtabaki kuvnjana nguvu